Tundu Lissu atashindwa sababu siyo Christian!

Tundu Lissu atashindwa sababu siyo Christian!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,211
Reaction score
14,800
Waislamu watampinga na kumkataa kwa 100%, Wakristo watagawanyika, Wakristo jina watakuwa naye (labda) lakini Wakristo real hawa-relate naye, hivyo ni ngumu sana kwake kutoboa na harakati zake kwani yuko vugu vugu na siyo 100% Christian for Christians …
 
Ni mpumbavu tu ataitupa dhahabu na kubeba mavi mkononi kisa dini.... Mbaya zaidi dini zenyewe zimeletwa na wakuja ☹️
Wewe ni mbilikimo wa historia. Hujui kuwa hata makabila yameletwa na wazungu? Gwagulo ulilovaa limeletwa na wazungu?
 
Waislamu watampinga na kumkataa kwa 100%, Wakristo watagawanyika, Wakristo jina watakuwa naye (labda) lakini Wakristo real hawa-relate naye, hivyo ni ngumu sana kwake kutoboa na harakati zake kwani yuko vugu vugu na siyo 100% Christian for Christians …
Unataka kusema waislam ni wajinga kiasi cha kutufanya tukubali kuwa watatumia msaada wa majini kumsaidia kibibi kama walivyosema wale mashehe ubwabwa japo nchi inateketea? Waombe radhi sasa hivi kwanio kuna wengi tu wanajua nchi inailekea kubaya.
 
Punguani mmoja usiejua kitu

Kwahiyo wasukuma walitolewa kutoka ulaya, america au arabuni wakamwagwa kanda ya ziwa?

Mpumbavu kama wewe bila kupigwa makofi huwezi kua sawa
Ungejifunza pimbi wewe hilo jina wasukuma limepatikanaje na nani alifanya "tribalization" ya hiyo jamii ya kiafrika? Hujui kuwa ukristo ulikuwa miaka mingi Ethiopia kabla ya usukuma?
 
Duuh! Hii ndio Tanzania bwana mwanzo mwisho vichekesho.
 
Waislamu watampinga na kumkataa kwa 100%, Wakristo watagawanyika, Wakristo jina watakuwa naye (labda) lakini Wakristo real hawa-relate naye, hivyo ni ngumu sana kwake kutoboa na harakati zake kwani yuko vugu vugu na siyo 100% Christian for Christians …
Acha upuuzi na uzwazwa wa udini ulete hoja yenye mashiko. Kama waislamu wanataka nchi si waende Arabuni waone watakavyotimliwa kama mbwaa aliyeiba nyama.
 
Waislamu watampinga na kumkataa kwa 100%, Wakristo watagawanyika, Wakristo jina watakuwa naye (labda) lakini Wakristo real hawa-relate naye, hivyo ni ngumu sana kwake kutoboa na harakati zake kwani yuko vugu vugu na siyo 100% Christian for Christians …
Kwani mimi naelewa vibayaa au usajili wa chawa unashika kasi kipindi hiki cha sisiemu kujibu hoja za kisiasa kwa vita a.k.a mabomu na masasii?
 
Back
Top Bottom