Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,703
- 26,224
Kwani kuna hoja hapo?...Nilidhani mtapangua hoja za Lissu kwa hoja,..
Kwani kuna hoja hapo?...Nilidhani mtapangua hoja za Lissu kwa hoja,..
Kwani huoni jinsi jamaa yako anavyoona ujiko kujiita rais wa TLS?...kwa hiyo kwenda ikulu ya Tanzania kwako ni bonge la sifa...
Amejichotea yeye na mpwa wake mapesa kedekede kununua ndege na kujenga uwanja wa ndege Chato, bila idhini ya wananchi. Pia hakufuata procurement procedures za serikali. Sasa kwanini nisiamini anakula pesa za wananchi? Kaambiwa aweke mikataba ya ununuzi na huo ujenzi wazi, anarukaruka tu!Lini na wapi?
Kwahiyo ulitaka nimsifu kwa nyimbo na kumwita shujaa huyuhuyu Lisu kwa kuropoka tususiwe harafu tukisha susiwa nitafaidika na nini iwapo yeye ataendelea kupokea posho zake kama kawaida!!!!?Waafrika tulitawaliwa na wazungu kwa sababu ya ujinga wetu, sasa mumekuwa huru wa kufikiri na kutoa maoni yenye thamani, mnatoa za hovyo kabisa
Ukweli huwa una tabia ya kukera sana!
Yeye nae aanze kwa kususia Ruzuku na Posho za Ubunge zinazokusanywa na kugawiwa na Serikal ya Magufuli
K
Kama wewe unaona yuko sahihi endelea kumsifia huyo mwanaume mwenzio by the way kwanza namwona mnafiki mkubwa na kichaa flani si huyuhuyu pia aliwahi kushupaza misuri ya shingo miaka 8 kutuambia Lowasa fisadi!!!!? Leo vipi bado fisadi?
Kwani huoni jinsi jamaa yako anavyoona ujiko kujiita rais wa TLS?
Sio watanzania wote kwasababu kati ya wengi mimi ni mmojawapo tupo pamoja na mheshimiwa rais sio uyu mropokaji mkuu.watanzania wapenda demokrasia wapo tayari kwa lolote ambalo litamfanya magufuli na mshauri wake mkuu yaani Maliyamungu Bashite waache Udikteta wao, kwani lengo la chadema ni kurejesha ubinadamu Tanzania ambao magufuli kaanza kuupoteza kwa Udikteta wake, ebu nyinyi CCM mkatazeni boss wenu aache ubabe, uonevu, kuwakomoa, kuwabambikia watu kesi kesi muone kama Wapinzani watahangaika na kumshitaki kwa wazungu.
ww km sio wa kanda yao,andika maumivu imekula kwako.Cheki hadi sasa serikali ili sema ajira elfu 52 zimeenda wapi zile au ndio kusema ilikuwa kiki si wasomi na Kayambo yetu tunatabikaa mtaani miaka ,2 Sasa huwezi ukaniambia huyu bwana anafaulu kafeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha.Kwa taarifa yako rais wa TLS ana maana kubwa...
Wafia wa Katundu kalissu awatakuelewa mkuu, yeye mwenyewe kasahau alivyomsajiri marehemu dada yake ubunge wa viti maalum pale Chadema. Au anajua watanzania wasahulifu?Mkuu wa majeshi enzi hizo alitoka wapi? Gavana wa Benki Kuu alitoka wapi? Waziri mkuu alitoka wapi? Na wengine wengi ambao unawajua. Huyo Nyerere alivyosema, na kama hamkumuelewa ni kwamba katika kutoa ajira dini au kabila sio, na wala havitakiwi kuwa kigezo cha mtu kuajiliwa au kutoajiliwa.
Hoja yangu! Wamejazana hawakujazana ni wapi katiba/sheria inapokataza mpaka muwe na hoja ya kwenda kushitaki huko mnakotaka kwenda?
Kinachatakiwa katika ajira za serikali ni "Qualifications" bila kujali ni mtoto wa kigogo au mlalahoi, wa dini gani, wala wa kabila gani. Wanaoanza kudodosa aliyopo kwenye position fulani ni kabila gani au dini gani badala ya kudodosa aliyopo kwenye position hiyo anaqualify au la huyo ndie anayetaka kuleta ukabila ktk hili. Hata hivyo nasubiri kwa hamu kuona mataifa yakitususa kwa kufunga balozi zao taifa moja baada ya jingine kutokana na hizo hoja za Tundu.
Katika teuzi za kisiasa, Rais amepewa mamlaka ya kuteua timu yake ambayo anaona itamfikishia malengo yake. Kama vile kocha wa timu ya mpira, masalan ya Taifa akishateuliwa ndie mwenye jukumu la kuteua na kutangaza wachezaji wa timu hiyo na falsafa ya uchezaji gani wa ushindi anaoutaka na anaouamini yeye (sio sisi), na mara nyingi huwa tunashauri kocha asingiliwe. Sasa kwa Rais kwa nini hatutaki kuheshemu na kumuacha achague timu ambayo anaona itamtimizia falsafa zake. Unapoona kuwa mchezaji fulani hakustaili kuteuliwa badala yake angechaguliwa fulani, unatofauti gani na huyo kocha mteule? Kumbe na wewe si una timu yako ambayo ungeitangaza kama nawe ungekuwa kocha mteule?
Post sent using JamiiForums mobile app
Na tuliweza kupeleka umeme bila ile fedha ya MCC.Thubutuuuu
MCC2 mlituambia ujinga huo huo.
Post sent using JamiiForums mobile app
Na tuliweza kupeleka umeme bila ile fedha ya MCC.Thubutuuuu
MCC2 mlituambia ujinga huo huo.
Post sent using JamiiForums mobile app