Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,788
Hivi wanadhani wataendelea na vyeo vyao maisha yao yote?? Au wanadhani upepo uvumao sasa utaendelea kuwa upande wao?? Wajitafakari kabla jogoo hajawika.
Sent using Jamii Forums mobile app
dhaifu kama wewe ndio huwa wanasema hizi statements!!! tunaishi kwa muda huu, nyakati hizi, na leo hii
hata akitoka madarakani, kaisha kuumiza, inakusaidia nini??