Planner
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 348
- 149
Hadi raha, yaani mnyiramba huyu we acha tu.
Mnyaturu a k a mnyampaa mkuu!
Hadi raha, yaani mnyiramba huyu we acha tu.
Tundu Lissu juzi nilimsikiliza kidogo nikaona kichefu-chefu kwa ujinga wake aliokuwa anaudhihirisha nikaacha kumsikiliza.
Alikuwa amma hajui hata kutofautisha "State of Emergency" na "Disaster" au alikuwa anafanya makusudi kupotosha ili atimize mada yake ya kupinga tu hata pasipopingika.
Akanichafua roho na jisauti la kuiga wachungaji wa viwanja vya Jangwani, nikamuona ni punguani mwengine anahororoja na kubwabwaja bila mpango, nikasepa.
Lissu ni zaidi ya Zitto 10000
Tundu Lisu .ni mgonjwa wa akili wa kudumu pale Mirembe Dodoma
Tutafutieni video clip ya mjadala huo iwekwe hapa kuweka kumbukumbu kwa ajili ya baadae
Siku hiyo Lissu alikesha mpaka asubuhi kuandaa hoja za nguvu alizowasilisha bungeni.Mungu azidi kumbariki mtu huyu nuhimu sana Tanzania.'Lissu akiwa na uhakika wa jambo na akiona halieleweki vizuri kwa wabunge basi anao uwezo wa kukesha akisoma na kutafuta njia ya kuwaelimisha wenzake. Anajenga hoja vizuri.' Hon. Lukuvi
Tundu Lissu juzi nilimsikiliza kidogo nikaona kichefu-chefu kwa ujinga wake aliokuwa anaudhihirisha nikaacha kumsikiliza.
Alikuwa amma hajui hata kutofautisha "State of Emergency" na "Disaster" au alikuwa anafanya makusudi kupotosha ili atimize mada yake ya kupinga tu hata pasipopingika.
Akanichafua roho na jisauti la kuiga wachungaji wa viwanja vya Jangwani, nikamuona ni punguani mwengine anahororoja na kubwabwaja bila mpango, nikasepa.
Unaweza kutuambia hoja ya msingi aliyokuwa anaitetea? Unajua sera z CDM? Nani anasimamia disaster sasa hivi Tanzania?Penye ukweli uwongo hujitenga,hivi mtu akitetea hoja za msingi kuna mambo ya chama kweli,pole mpinga hoja huna maana kabisa leta hoja ondoa ushamba na chama chako mnaokumbatia maovu,shida yenu ni mwanya wa ulaji tu .Angalia Marekani chama kikifanya madudu kinawekwa kando na kingine kinashika madaraka
Basi kama huwezi kumsikiliza Tindu sema ubamsikilizaga nani.Ukiwa CCm unapoteza uwez wa kufikiri , unakuwa dead woodTundu Lissu juzi nilimsikiliza kidogo nikaona kichefu-chefu kwa ujinga wake aliokuwa anaudhihirisha nikaacha kumsikiliza.
Alikuwa amma hajui hata kutofautisha "State of Emergency" na "Disaster" au alikuwa anafanya makusudi kupotosha ili atimize mada yake ya kupinga tu hata pasipopingika.
Akanichafua roho na jisauti la kuiga wachungaji wa viwanja vya Jangwani, nikamuona ni punguani mwengine anahororoja na kubwabwaja bila mpango, nikasepa.
Ni kawaida yako,toka lini ukamsifia..? Kama yeye ni punguani basi wewe ni punguani zaidi.Ungekuwa mwerevu usingesumbuka kumsikiliza hata kidogo kama ulivyofanya na wala usingesumbuka kuja kuchangia uzi unaomzungumzia punguani.Shame on you.!
Basi kama huwezi kumsikiliza Tindu sema ubamsikilizaga nani.Ukiwa CCm unapoteza uwez wa kufikiri , unakuwa dead wood
Nilimsifu sana pale aliposema ukweli kuhusu Nyerere na alipotumia kitabu kilichoandika na Dr. Ghassan na msaidizi Mohamed Said BMK kuonesha uovu wa Nyerere, mkasema kamtukana, umesahau? au ulikuwa bado hujaijuwa JF?
Kama ulikuwa bado kuijua JF jaribu kutumia search feature ya JF utazipata hizo habari.
Wewe toka 2007 mpaka leo hujuwi kuanika vizuri? unanchekesha!
toka akuchezeshe mziki wa tango umebaki kumuwaza tu Mohamed Said!
It takes two to tango! Faiza @ MS make a complete match. KUDOS