Wewe utakuwa unaumwa ugonjwa wa akili. Hata spika wako anamkubali, kwenye ukweli tuwe wakweli. Sio kila kitu ukibali hata kama aliyepewa nafasi hio anapotosha. Mambo ya ndio mzee hayana nafasi.Lisu hawezi zuia serikali kufanya yake. Lisu hawezi mzuia AG kunywa maji, kwanza mwenye mamlaka ya kutafsiri na kutoa maelekezo ya kusheria na katiba kwa ujumla ni Mahakama na AGC, Lisu akatafsir katiba ya chadema. Tupa kule. Na bado changa la macho la october linaandaliwa. Wataisoma namba.
Lissu aongezewe ulinzi .
Wewe naona kuna kitu kinakusukuma ila ukweli unabakia palepale kuwa lisu ni kutoka dunia nyingine na huwezi kumlinganisha na yuda eskarioti zzk
Wewe utakuwa unaumwa ugonjwa wa akili. Hata spika wako anamkubali, kwenye ukweli tuwe wakweli. Sio kila kitu ukibali hata kama aliyepewa nafasi hio anapotosha. Mambo ya ndio mzee hayana nafasi.
Tundu Lissu juzi nilimsikiliza kidogo nikaona kichefu-chefu kwa ujinga wake aliokuwa anaudhihirisha nikaacha kumsikiliza.
Alikuwa amma hajui hata kutofautisha "State of Emergency" na "Disaster" au alikuwa anafanya makusudi kupotosha ili atimize mada yake ya kupinga tu hata pasipopingika.
Akanichafua roho na jisauti la kuiga wachungaji wa viwanja vya Jangwani, nikamuona ni punguani mwengine anahororoja na kubwabwaja bila mpango, nikasepa.
ulisikia kichefuchefu kwa sababu una mimba bibi sio lissu