Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Tunajua mnaweza kuiuza ili mbaki madarakani na ndivyo mnavyofanya siku ila mwisho wenu umefikaIMF wameshampongeza mzee Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya unapoeleza ujinga wako wanakuona mwehu.
World Bank tayari wametembelea miradi mbalimbali ya ujenzi unaoendelea Tanzania wa Reli ya kisasa na bwawa la mwalimu Nyerere.
Ukija huku Tanzania utaiona mpya tuna mfugale Flyover, Ubungo interchange, Bwawa kubwa LA umeme
Unazidiwa na Zito kabwe ambaye amebweka Mara mbili tu angalau tumeona impact yake japo ni hasi
Ni mwaka ss unarudia hayo hayo lakini hakuna mabadiliko yoyote misaada inazidi kumiminika kila kukicha
Wakiamua kukuweka katikati utawekwa katikati na hao unaowatukuza tukiamua ulichowaahidi sisi tutawapa kwa sababu tunacho tayari ili tu tukuweke katikati
Ogopa sana mkuu wa Nchi kama Marekani anapoandikiwa ujumbe na Rais wa nchi kama Tanzania
Kwa Taarifa yako Makampuni Makubwa mawili ya USA kumalizia ujenzi wa Reli ya kati kutoka Makutupora Isaka then Isaka Mwanza
Serikali ya Tanzania na Marekani muda si mrefu kutiliana mkataba wa Ujenzi wa LNG