Tundu Lissu amua kumuenzi Mwl. Nyerere au kumbagaza

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Heshima wakuu!

Biblia inasema au uwe moto au uwe baridi! Ukiwa wa vuguvugu utatemwa. Unawezaje kumsifia baba wa taifa bara halafu pwani ukambagaza?

Bara, unaongelea miradi iliyoanzishwa na baba wa taifa, unaongelea umoja wa kitaifa aliouacha, unaongelea maono yake juu ya demokrasia, haki na utu wa mtu. Bara unamsifu!

Zanzibar unasema alimtisha Karume kuingia kwenye Muungano, Zanzibari unamuongelea kama Gaidi!

Lissu siasa zipo na maisha yanaendelea. Usimtumie baba wa taifa kinafiki. Isisome kitabu chake vizuri bara na Zanzibari umuandikie kitabu chako cha kashfa.

Binafsi nafikiri mwalimu angeachwa apumzike kwa amani. Tusimpe shida, amesaidia taifa akiwa hai na bado tunataka arudi kama mzimu ajitetee na kutusaidia.

Lissu au unampenda na kumheshimu mwalimu au unataka kura bila kujali gharama!
 
This is rubbish, Nyerere was a human being, he made a lot of mistakes he is liable for what he did. Good deeds will be honoured and bad ones condemned! ALL MEN ARE FALLIBLE, NO MAN IS INFALLIBLE!
 
That is right, but the question is whether you exonerate his deeds of you simply downplay them!
You don't do both at a go.
This is rubbish, Nyerere was a human being, he made a lot of mistakes he is liable for what he did. Good deeds will be honoured and bad ones condemned! ALL MEN ARE FALLIBLE, NO MAN IS INFALLIBLE!
 
That is right, but the question is whether you exonerate his deeds of you simply downplay them!
You don't do both at a go.
Where he deserves credit one will do so heartedly and vice versa! You can go a step further and rate him say by 80:20, my point is, this 20% wrongs is not to be forgotten by history! it has to be documented!

We should strongly not build a culture of exoneration of "tyrants" as by so doing the society will be making a way for the same wrongs to come in the next generations!
 
Zanzibar , Nyerere ni gaidi la kimataifa . Allah ampe kinachostahili huko aliko. Balaa zote kazileta yeye huku. Maelfu ya watu wamekufa na kuteseka na wanaendelea kuteswa na mzimu wake wa CCM
 
That is right, but the question is whether you exonerate his deeds of you simply downplay them!
You don't do both at a go.

as a human being ana mabaya yake na mazuri yake lazima yazingatiwe yote na historia iyaone na kuyaandika. This applies to everyone of us the only big difference makossa mengi ya Nyerere haya kulenga kumbinafsisha yeye wala kumlimbikizia mali kilafi.
 
This is rubbish, Nyerere was a human being, he made a lot of mistakes he is liable for what he did. Good deeds will be honoured and bad ones condemned! ALL MEN ARE FALLIBLE, NO MAN IS INFALLIBLE!
It is true, Despite its humanity, but its respect for this Nation, it cannot be despised as your fool does
 
Nyerere hayupo tena ndio maana kikwete aliingia na kuwa rais wa awamu ya tano laiti kama baba wa taifa angelikuwepo hata jiwe na wasanii wote wa kisiasa wanaozalishwa na ccm hawangeonja kitu pale magogoni

Baba wa taifa alikufa na utaifa wake huko kwa mama UK, sera alizoziasisi zimetupiliwa mbali na hao wasanii ndani ya hicho Chama.

Leo umeamka umebwia ugora na kuanza kumsakama Ni YEYE kisa kamkosoa Nyenre una akili za nusu kaputi bwashee

Nakushauri tu urudi Chato ukamweleze jiwe kwamba "kwa makosa aliyofanya ndani ya miaka 5 yeye atakuwa ni rais aliyetawala muhula mmoja hapa TZ, mpe na pole yake 😁

Mambo ya Tundu muachie Tundu mwenyewe wala hayakuhusu bwashee
Heshima wakuu!

Biblia inasema au uwe moto au uwe baridi! Ukiwa wa vuguvugu utatemwa!
Unawezaje kumsifia baba wa taifa bara halafu pwani ukambagaza?

Bara, unaongelea miradi iliyoanzishwa na baba wa taifa, unaongelea umoja wa kitaifa aliouacha, unaongelea maono yake juu ya demokrasia, haki na utu wa mtu.
Bara unamsifu!

Zanzibar unasema alimtisha Karume kuingia kwenye Muungano, Zanzibari unamuongelea kama Gaidi!

Lissu siasa zipo na maisha yanaendelea!
Usimtumie baba wa taifa kinafiki. Isisome kitabu chake vizuri bara na Zanzibari umuandikie kitabu chako cha kashfa.

Binafsi nafikiri mwalimu angeachwa apumzike kwa amani!
Tusimpe shida, amesaidia taifa akiwa hai na bado tunataka arudi kama mzimu ajitetee na kutusaidia.

Lissu au unampenda na kumheshimu mwalimu au unataka kura bila kujali gharama!
 
This is rubbish, Nyerere was a human being, he made a lot of mistakes he is liable for what he did. Good deeds will be honoured and bad ones condemned! ALL MEN ARE FALLIBLE, NO MAN IS INFALLIBLE!
You have said it all Mkuu
Mwl ni binadamu alikuwa na mapungufu na mazuri
ccm wanaishi kwa mazoea ndiyo maana bado wana ile ccm oyeeee (huwa nacheka nikisikia)
 
Ni Magufuli tena
107530571_3426505757394230_3375537061730439151_o.jpg
 
This is rubbish, Nyerere was a human being, he made a lot of mistakes he is liable for what he did. Good deeds will be honoured and bad ones condemned! ALL MEN ARE FALLIBLE, NO MAN IS INFALLIBLE!
Rubbish too this you brought here
 
Mlioshindwa - hadi mnatia huruma.

Ombebila hata pooo, atawahurumia tu mbona hata zile risasi kutaka kumwua kawasamehe majahili wakubwa nyie?!
 
Heshima wakuu!

Biblia inasema au uwe moto au uwe baridi! Ukiwa wa vuguvugu utatemwa!
Unawezaje kumsifia baba wa taifa bara halafu pwani ukambagaza?

Bara, unaongelea miradi iliyoanzishwa na baba wa taifa, unaongelea umoja wa kitaifa aliouacha, unaongelea maono yake juu ya demokrasia, haki na utu wa mtu.
Bara unamsifu!

Zanzibar unasema alimtisha Karume kuingia kwenye Muungano, Zanzibari unamuongelea kama Gaidi!

Lissu siasa zipo na maisha yanaendelea!
Usimtumie baba wa taifa kinafiki. Isisome kitabu chake vizuri bara na Zanzibari umuandikie kitabu chako cha kashfa.

Binafsi nafikiri mwalimu angeachwa apumzike kwa amani!
Tusimpe shida, amesaidia taifa akiwa hai na bado tunataka arudi kama mzimu ajitetee na kutusaidia.

Lissu au unampenda na kumheshimu mwalimu au unataka kura bila kujali gharama!
Mimi naweza kusema mazuri ya Nyerere, na mabaya yake.

Nyerere was a complex individual, neither a god, nor a devil.

Kwa mfano, Nyerere alikataa sana siasa za ubaguzi wa rangi. Kiasi mpaka ikamletea matatizo mwaka 1964 wanajeshi wa Kiafrika wakaasi, kwa kuona maslahi yao hayapewi kipaumbele.

Nyerere alipigania uhuru wa Afrika kwa vitendo.

Lakini pia, Nyerere huyo huyo alifuta mfumo wa vyama vingi, akamfunga Balozi Christopher Kassanga Tumbo "internal exile" kuanzia mwaka 1966 mpaka anastaafu, miaka takriban 30.

Nyerere alipinga ukoloni na kupigania uhuru. Kwa hili alijijengea heshima sana. Halafu alivyopata urais, badala ya kuondoa sheria za kikoloni kama za "indefinite detention" na sheria nyingine zilizo kati ya "Sheria 40 Kandamizi" kama zilivyotajwa na Jaji Francis Nyalali, Nyerere aliendelea kuzitumia sheria hizi, akawa kama na yeye mkoloni.

Sasa ukitaka watu wawe na maoni ya aina moja tu kumhusu huyu mtu, utakuwa una ufinyu wa mawazo.
 
Nyerere alikuwa binadamu Kama wengine, alikuwa na mazuri na mabaya yake pia, Kuna Mambo aliyofanya kwa hila ili kuhami mamlaka yake.

Muungano ni Jambo jema ila muundo wake umekuwa ukihojiwa muda mrefu sana mpaka Sasa. Bahati mbaya wale waliohoji muundo wamekuwa wakionekana Kama wasaliti na wanaotaka kuvunja Muungano. Kuanzia kwa Abuod Jumbe aliyehoji mwaka 1984 na kuishia kuvuliwa nyadhifa zake, mpaka kwenye Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Warioba.

Kwenye Tume ya Nyalali na Tume ya Kisanga zote zilipendekeza mfumo was Serikali tatu.

Kundi la Marehemu Njelu Kasaka, la G55, walikuja na hoja ya Tanganyika na ikapitishwa bungeni kabla ya Mwalimu Nyerere kuivunja kwa mlango wa nyuma kwa kuwasulubu Malecela na Kolimba.

Kwa hiyo hoja ya muundo wa Muungano ingali hai na mtu Kama Tundu Lissu Kama mgombea ni halali kabisa kuiongelea na kutoa mwelekeo wa namna atakavyoishughulikia akiwa Rais.
 
You have said it all Mkuu
Mwl ni binadamu alikuwa na mapungufu na mazuri
ccm wanaishi kwa mazoea ndiyo maana bado wana ile ccm oyeeee (huwa nacheka nikisikia)
Umeona Eh! Nami huwa nacheka. Nyerere alikuwa mtu mzuri, lkn ana mapungufuyake. Actually wanasema, wachambuzi wa masuala ya Nyerere kuwa mapungufu yake yanatokana na kiu ya kuwatendea mema watanzania akajikuta anamuua Mwamwindi kule Iringa (Issue ya Dr Kleruu)! Anawafunga watu magerezani eti wanawaibia watanzania wakati walikuwa na biashara halali etc....... na vitu kama hivyo.
 
Back
Top Bottom