Why ultimately?Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Why ultimately?Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Yeye ni mlalamikaji ila anasema jukumu la kuwashitaki vigogo siyo lake--- this is too much....Hahaha huyu ndiye yule alikuwa anasema sijui kila swali na leo hapo tena kabananishwa hadi anatia huruma
Serikali mkiwa na kesi za namna hii kwa mtu kama Lisu basi jitahidini kuwaweka mashaidi wanaojielewa ,sasa huyu hata kuhesabu aya ya kwenye makala hawezi ndio atatoa ushahidi wa kumuweka Tundu hatiani ?
Savage
Endelea kujifariji hivo hivo anayejua anajua tuu.Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Mkuu wewe unatishaNdio maaana mapolis wanakufa haraka
We kwani ulishawahi muona polisi amekaa hadi uzeen asilimia kubwa akistaafu week inayokuja ndio anaingia kaburiniMkuu wewe unatisha
Kuna fundisho fulani hapoWe kwani ulishawahi muona polisi amekaa hadi uzeen asilimia kubwa akistaafu week inayokuja ndio anaingia kaburini
Francis12 , mbona kama vile hapa alijibu inavyotakiwa? Kosa la jibu liko wapi? angalia post yangu #19Huyu anajiabisha bure hizi kesi ndo maana huwa wanashindwa
Lissu: Kwa uelewa wako mtu anayetoa matamshi yenye kuibua hamasa au chuki dhidi ya Serikali ni lazima uwe uchochezi?
Kamanda Hamdani: Kwa uelewa wangu ni lazima uwe uchochezi.
Unajambajamba tu. Tuondolee ushuzi wako hapa.Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Tumefaidi wengi kwenye hili sasa mapungufu yake ndio yanaonekana. Baadaya kubebwa saana, mbeleko inakatika, ukishuka swali unakula swali la Lisu-hautajua uanzie wapi. Unauliza hata kama mitihani, majaribio na matokeo hayakuangalia huyu kaletwa na afande gani.Hii inatokana na ajira za serikali kutolewa kwa kujuana.
kwa nini waliruhusu vyama vingi?Huyu anajiabisha bure hizi kesi ndo maana huwa wanashindwa
Lissu: Kwa uelewa wako mtu anayetoa matamshi yenye kuibua hamasa au chuki dhidi ya Serikali ni lazima uwe uchochezi?
Kamanda Hamdani: Kwa uelewa wangu ni lazima uwe uchochezi.
Kwanini mkuu?Nimeishia kujifyonza
Hawa wazenji huku kugumu hawapawezi, wamemshindwa Maalimu pekee sembuse huku kwa wajanja?Tumefaidi wengi kwenye hili sasa mapungufu yake ndio yanaonekana. Baadaya kubebwa saana, mbeleko inakatika, ukishuka swali unakula swali la Lisu-hautajua uanzie wapi. Unauliza hata kama mitihani, majaribio na matokeo hayakuangalia huyu kaletwa na afande gani.
Umepotea njia upo mahali ambapo sii sehemu yako.Hii mipasho unayoleta humu hadija Kopa hayuko huku tafuta jinsi nyingine ya kumfikishia aya mashairi yako yasiyo na vina wala bahari.Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !