kakojoe ulale masaburi wewe!Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
kakojoe ulale masaburi wewe!Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
Lissu ni mropokaji tu hajui sheria, isipokuwa anajua uropokaji wa sheria na kiingereza chake ni cha kuunga unga, ni janga la kitaifa Lissu, Tundu ni mfa maji haichi kutapa tapa
Hata mimi nimeshangaa sana! Halafu anamtisha kuwa ataweza kuishia kwenye kamati ya maadili as if Tundu Lissu amejihusisha na 'malpractice' yeyote. Hivi hawa watu kwa nini hatawaki watu wakosowe mfumo mbaya? Baadala ya kujenga hoja wanaanza ku'attack' wakosoaji. Wiki iliyopita alidai Tundu Lissu hajasomea Katiba as if kuchingia bungeni kuhusu Katiba mpaka uwe ume'specialise' kwenye Constitutional Law. Jamani kama mfumo kushindwa kufanya kazi sasa imefika mwisho. The current ruling system is falling apart/collapsing!
Record ya Judge Werema sio nzuri. Hukumu zake kibao zimetupiliwa mbali. Hawezi hata siku moja kushindana na record ya Tundu Lissu mahakamani. Na tunapokuwa na Manasheria mkuu wa serikali anayesimama bungeni badala ya kutoa ufafanuzi wa kisheria anajikita kumshambulia mbunge -persnally, ni janga la taifa.
Werema anaweza kujiinua sana kwa sababu pengine ana short memory. Angekuwa na memory nzuri angekumbuka Lissu na ule muswada wake na Celina Kombani walio-download kwenye google. Muswada ulirudi bungeni thanks to Lissu na kufanyiwa marekebisho makubwa. Na hata yeye mwenyewe Werema (hansard) alimsifia Lissu kwa uelewa wake wa sheria. Sasa keshapata chips kuku kasahau!
Hivi hotuba ya kambi ya upinzani inaandaliwa na mtu mmoja mwenye influence anu inaandaliwa na jopo maalumu la kambi ya upinzani? Je Bajeti hiyohiyo inaweza kutumika wakiwa madarakani? Nauliza hivi kwakuwa sijona chochote alichosema Lisu nimesikia makelele yaliyoambatana na nguvu nyingi hadi kaharibu kipasa sauti na meza yenyewe akahamia kwa mwingine. Zaidi ya hapo sijaona kitu kama bajeti ila tu kuishambulia serikali kana kwamba anafanya kampeni. Kaaaazi kwelikweli.Tunachezewa akili kwa stali ya kipropaganda
Leo nimeshangaa sana tundu anatumia magazeti kukazia ushahidi wake kwa kuwataja watu walimtesa Dk ulimboka kwa kutumia magazeti, leo hivi kesho si atatumia magazeti ya UDAKU?
Naangalia bunge kuna mvutano kati ya kiti cha spika na Tundu lissu juu ya hotuba ya lissu katika mjadala wa bajeti ya sheria nakatiba, kikubwa ni kuhusu lissu kuwashambulia majaji juu ya uteuzi wao. wana JF weledi wa mambo ya parliamentary laws naomba mtupe undani wa mgongano huu ili watz wapate kuelewa
:
Source :TBC1 Kipindi cha bunge
Nawasilisha
Leo nimeshangaa sana tundu anatumia magazeti kukazia ushahidi wake kwa kuwataja watu walimtesa Dk ulimboka kwa kutumia magazeti, leo hivi kesho si atatumia magazeti ya UDAKU?
Leo nimeshangaa sana tundu anatumia magazeti kukazia ushahidi wake kwa kuwataja watu walimtesa Dk ulimboka kwa kutumia magazeti, leo hivi kesho si atatumia magazeti ya UDAKU?
Leo nimeshangaa sana tundu anatumia magazeti kukazia ushahidi wake kwa kuwataja watu walimtesa Dk ulimboka kwa kutumia magazeti, leo hivi kesho si atatumia magazeti ya UDAKU?