Tundu 'Frankenstein' Lissu

[B]JokaKuu[/B], wapo watu wanadhani kaibuka tu wakati huu wa dikteta uchwara...hawafahamu historia ya Lissu na misukosuko aliyopitia hata kabla ya kujiingiza kwenye siasa. Hawafahamu Kikwete alimjulia wapi [B]Tundu Lissu[/B] hadi kufikia kutoa kauli ya heri Dr. Slaa aupate Urais kuliko Mh. Tundu Lissu kuukwaa Ubunge. Wakti anatamka hivyo Mh. Lissu ndio alikuwa anagombea Ubunge kwa mara ya kwanza.

Mkapa alimshughulika Lissu mara nyingi katika utawala wake na wakati huo alikuwa mwanaharakati tu na si Mbunge. Alikamatwa, akaswekwa ndani na akafunguliwa mashtaka lakini Mkapa hakuweza kumnyamazisha Lissu. Kikwete naye alihangaika na Lissu wee lakini mwisho wa siku hakufanikiwa kumnyamazisha Lissu. Wangapi wanakumbuka siku Lissu alipodhalilishwa na Polisi baada ya kuachiwa na Mahakama?



Tundu Lissu akionyesha shati lake lilivyochanwa na polisi
baada ya kumpa kichapo akiwa nje ya Mahakama
ya Wilaya ya Tarime, baada ya kupata dhamana.

Waliopanga shambulio kwa Mh. Tundu Lissu walijua njia iko moja tu ya kumnyamazisha nayo ni kumtoa uhai. Leo anatokea limbukeni mwingine anamfananisha na dubwana akijitetea eti alikuwa anatumia tu metaphor, metaphor my foot. Does he even know the meaning of the word? Kuna wengine yawezekana wamesoma lakini kuelimika ni sufuri na ndiyo maana wanakimbilia kutukana hovyo bila haya.

You cannot make an implicit, implied, or hidden comparison between Mh. Tundu Antiphas Lissu and an evil monster unless you have a sick mind!
 
Tatizo ni kwamba hata wakimuua Lissu wataibuka wengine wenye hulka na mrengo kama wake wataendelea kumwendesha bwana mkubwa,historia inatufunza kuwa unaweza kuuwa mtu lakini huwezi kuuwa wazo/idea/itikadi.muda utakuwa hakimu wa hili
 
You cannot make an implicit, implied, or hidden comparison between Mh. Tundu Antiphas Lissu and an evil monster unless you have a sick mind!

Well, I just did and I don't have a sick mind.

The only one sick here is probably you with your Alzheimer's!
 
Well, I just did and I don't have a sick mind.
Would you know it if you had one? Let me tell you something dude, your denial here confirms it. Your reaction proves beyond any doubt that you do have a sick mind.
 
Would you know it if you had one? Let me tell you something dude, your denial here confirms it. Your reaction proves beyond any doubt that you do have a sick mind.
Only one who is sick here is you.

Only two who are in denial are you and your friend JokaKuu.

Go get some help Mr. Curmudgeon.
 
Kwanza kesi alizofunguliwa si kesi uchwara. Ni kesi za kumfunga jela kama mahakama za Tanzania zisingeingiliwa na siasa. Hata serikali yenyewe inaonekana kama ina wasiwasi wa kulaumiwa kufunga wapinzani. Truth be told kuna viongozi wa wapinzani wengi ambao wangekuwa jela saa hizi katika nchi ambazo mahakama zake haziangalii makunyanzi ya uso.

Pili Lissu hakuwa kipenzi cha watanzania wote. Wengi wameweka chuki chini na kumuhurumia kwa misingi ya ubinadamu.

Tatu Lissu sio mwiba kwa CCM tu hata kwa wapinzani. Hasa wale wanaotegemea kupata uraisi. Akiwa unfit kugombea uraisi kuna watakaotoa machozi ya mamba katika wapinzani.

Kabla ya hili tukio umaarufu wa Lissu ulichafuka sana katika suala la bombadia na Acacia.

Akirudi akiendelea na alipoachia atapambana na upinzani ule ule uliofikia kumtoa uzalendo.
 

Katika Maeneo ambayo Mh. Tundu Lissu alipiga propaganda nyepesi ni Kwenye Suala la Ukabila na Ukanda!
JPM hazingatii sana Ukabila na Ukanda.Ingelikuwa hivyo basi nusu ya serikali wangejaa washosha!
 
Naamini Lissu atarudi kuendeleza harakati zake! He was born to do that
 
Reactions: SDG
Magifuli ana huruma sana,hajamkamata hata waziri au kiongoz yeyote alotutia hasara kwenye madini,ikiwemo yule alokwapua almas ya USD MIL 200.
Na anasema hao wazee muwaache wapumzike
 
Katika Maeneo ambayo Mh. Tundu Lissu alipiga propaganda nyepesi ni Kwenye Suala la Ukabila na Ukanda!
JPM hazingatii sana Ukabila na Ukanda.Ingelikuwa hivyo basi nusu ya serikali wangejaa washosha!

Home first
 
Kikwete mwanasiasa mwenzao ndiyo aliwaweza vizuri tu,alikuwa anawaita ikulu anawapa chai basi mchezo umekwisha.
 
Kalale mkuu
 
Usilinganishe tukio hili na matukio ya ajali za kawaida za barabarani au angani hata kama ajali hzo huua mamia ya watu kwa mkupuo kila siku.

Hili tukio ni kitu kingine kabisa. Ona Nape alivyoathirika kwa kuoneshwa mtutu tu wa bunduki, tena bunduki yenyewe ni wa ka bastola tu. Nape wa leo si yule tunayemjua. He has completely transformed, sababu si kutimuliwa uwaziri bali kunyooshewa mtutu wa bastola. Nape wa zamani hatunaye tena duniani.
 
Inahitaji HOJA kukabiliana na Lisu, nje ya hapo ni matumizi ya nguvu na mabavu. Aachwe aikosoe serikali, wamjibu kwa hoja.......
 
Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair
Hata kama ni kwenye wheelchair the fact remains that you could not implement your evil plans and deeds simply because Mr God did not approve them. So watch out guys
 
Wapumbavu kabisa!
 

Kama kawaida yako: Prophet of Doom!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…