Tundu Antipas Lissu

Tundu Antipas Lissu

Turning point ya slaa ni mchungaji wake na huenda ndio anapaswa kubeba lawama zote hizi slaa ss ni km hajui anachosema na kufanya
 
Lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, raisiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Ccm parapanda imelia kwenu mwaka huu, ccm mnajaribu kukwepa kifo, kifo hakikwepeki, unaweza kucelewa kufa ila huwezi kukwepa kufa, ndio kifo kimewajia ccm..
 
uko sawa kabisa na asante kwa umakin wako,ila mi kura yangu ukawa na siyumbishwi na mtu ambaye alishindwa kusimamia wito wake.
 
binafsi Lissu kanisikitisha sana, siamini huu kama ndo uwezo wake kwa sasa, yaani anasema Dr anasema mshenga hasemi mposaji, kama Dr ndo alikuwa mposaji sasa si kisha goma hataki tena kuposa, sasa vipi chama kiendelee na mikakati? mtu akigoma haoi tena humlazimishi, badala yake chama kikaendelea tu kuoa, hapo si kweli kuwa tayari walishapanga?
 
ASSET na LIABILITY

Warning: UKAWA sio business entity, kafanyeni biashara zenu huko! UKAWA ni mabadiliko period!

Pamoja na hayo mkuu Asset= capital +liability.kwaio asset na liability sio vitu tofauti liability iko ndani ya asset. Kwaio hao magamba wataisoma namba.
 
binafsi Lissu kanisikitisha sana, siamini huu kama ndo uwezo wake kwa sasa, yaani anasema Dr anasema mshenga hasemi mposaji, kama Dr ndo alikuwa mposaji sasa si kisha goma hataki tena kuposa, sasa vipi chama kiendelee na mikakati? mtu akigoma haoi tena humlazimishi, badala yake chama kikaendelea tu kuoa, hapo si kweli kuwa tayari walishapanga?

Kwamba Slaa agome na chama kiache? Kwani yeye nani? Na kama angekuwa anawapenda waTanzania siangesema mapema kuwa hakubaliani na Lowassa kwenda Chadema. Anakuja kusema wakati i'ts too late anataka wananchi wafanye nini sasa? Anataka tuchague Magufuli ambaye kwa mujibu wa Slaa huyohuyo Magufuli yupo chooni (CCM)? Hana maana yule mzee!
 
Baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa kuzungumza na Wanahabari jana. Wakili Msomi ndugu Tundu Lissu aliibukia Voice of America Idhaa ya Kiswahili akijibu Hoja za Slaa kwa style ile ile iliyozoeleka na Chama chake ya KUCHAFUANA.

Wengi mnajua alichoongea hasa hasa akimuingiza mchumba wa Dr. Slaa kuwa anahusika na move aliyoifanya Dr jana. Ninaamini kuwa kwa Chama makini kama CHADEMA walipaswa kuzipangua hoja za Slaa kuliko walivyomtuma Lisu kuongezea hoja juu ya hoja na kuibua interest za wadadisi kujua uadilifu wao.

Katika suala la Josephine kuhusishwa imefikia hata kumdhalilisha Dokta kwa kusema alitupiwa virago vyake nje akalazimika kulala ndani ya gari. Ina maana CHADEMA wanafuatilia mpaka mahusiano ya unyumba baina ya members wake!

Nimeshangazwa kuona kwamba Hoja na tuhuma alizotoa Slaa haizibiwi bali vijana wa CHADEMA mitandaoni wanatumia muda wao mwingi kubeza, kudhalilisha na kupaka matope hoja hizo. Kuna mmoja amefikia kusema kuwa TRENI LIMEKATIKA BREKI HALIWEZI KUSIMAMA akimaanisha kuwa Slaa hawezi kuzuia nguvu na mchakato wa mabadiliko. Sasa napata kuelewa maana ya maswali ya Dr. Slaa alipouliza kuwa Lowassa anakuja na kundi aina gani? Vijana wa Boda Boda au waliokosa ajira? Mwenye upeo finyu hawezi kupambanua hili swali.

Suala la ASSET na LIABILITY limekuwa hoja kubwa sana hadi kufikia kumuuliza alipotoka CCM 1995 alikwenda CHADEMA alikuwa asset? Aina hii ya udadavuaji wa Hoja imenifumbua macho kwamba asilimia kubwa ya wasomi wetu walihudhuria shule na hawakuelimika. Aina ya maswali wayaouliza mitandaoni ni picha tosha ya kukosa fikra.

MBELE KWA MBELE ni msemo ulioshika chati sana sasa. Ikumbukwe kwamba hawa wanaosema hivyo wanasukumwa na utashi wa watendaji wa serikali waliofeli kwenye utendaji wao na wakakimbilia CHADEMA ili warudi nafasi zao walizoondolewa.

Narejea kwako Tundu Lissu.

Unapoamua kuonyesha mwelekeo wa aina ya majibu yanayofaa kumjibu Dr. Slaa umeficha hekima yako na kuonyesha upumbavu wako.

Hufai tena kuendelea kuaminiwa na hufai kujiita Mzalendo wa nchi hii kwani umeshaonyesha dalili za ulevi wa kisiasa hata hujitambui. Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo kabla na baada yako na kikundi chenu.

Hivi kwa nini umeamua kupoteza muda wako wa thamani kwa kuandika ngonjera? Unathubutu kusema hoja alizotoa Dr Slaa hazijibiwi, hizo hoja ni zipi? Richmond ni hoja mpya kweli? Richmond imekuwepo kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu sana, na mhusika mkuu anafahamika kuwa ni JK, Lowassa aliwajibika kuiokoa serikali. Hili nalo lafaa kutupotezea muda?

Sioni kosa la Tundu Lissu, in fact aliyefanya siasa za majitaka ni Slaa, ambaye amekitukana chama na kuiona yeye yupo smart sana wakati siyo. Lissu bila shaka anamjua Slaa vizuri kuliko mimi na wewe na kusema ukweli kuwa Slaa aligeuka ghafla baada ya kutupiwa mabegi na mke wake sioni kosa! Ulitaka adanganye umma kuwa hajui kilichotokea?
 
Msanii

Kaka wewe ni mkongwe humu na nilitegemea ungekuja ni kitu kisichokuwa na shaka

tafadhali elewa hivi,

Dr Slaa yeye aliita wandishi wa Habari na kuongea alichopanga kuongea

Tindu Lissu yeye alipigiwa simu na waandishi wa habari wa VOA na alikuwa anawajibu walichokuwa wanamuukiza, sasa wewe ulitaka ajibu asichoulizwa?

ungekuwa na hoja kama CHADEMA nao wangekuwa wameitisha press conference ya kujibu hoja za Slaa na kisha kuongelea vitu vingine bila kujibu hoja

cc: JEKI
 
Last edited by a moderator:
binafsi Lissu kanisikitisha sana, siamini huu kama ndo uwezo wake kwa sasa, yaani anasema Dr anasema mshenga hasemi mposaji, kama Dr ndo alikuwa mposaji sasa si kisha goma hataki tena kuposa, sasa vipi chama kiendelee na mikakati? mtu akigoma haoi tena humlazimishi, badala yake chama kikaendelea tu kuoa, hapo si kweli kuwa tayari walishapanga?

Hahahaha
 
Mapenzi na mahaba ni maneno tu ila maana moja.

Sijaongelea UCCM wala UCHADEMA bali HOJA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom