pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Sasa hivi tu kumtoa JK imewatoa Ukawa jasho mbali na skendo zote zilizoitikisa serikali.
Hiyo ukawa wameshindwa hata kuisajili kwa "merger of political parties" ambayo inaruhusiwa kisheria na ni rahisi sana kwa sababu viongozi wangepoteza nyadhifa zao.
Hata makubaliano ya ukawa hayajasajiliwa rasmi chini ya sheria.
Ukawa sio chombo kilichosajiliwa kisheria. Ukawa hakitakuwa chama kinachoongoza serikali. Kikatiba Chadema ndo chama..
Kwengine wote Rais akishatangazwa na serikali kuundwa vinakuwa vyama vya upinzani.
Rais atatakiwa kuendesha nchi kwa kufuata katiba (ambayo haijabadilishwa) na rais hana mamlaka ya kuibadilisha. Rais anatumia katiba kutawala na sio makubaliano ya ukawa.
Tamu sana hii.
Ukawa ilikuja baada ya jk kuwa madarakan,kwa hyo kumtoa isingewezekana na hapakuwa na umoja huu wa sasa....