Tundu A. M. Lissu hapuuziki

Tundu A. M. Lissu hapuuziki

Mbona mimi Lissu ni mmoja wa wabunge ninaowadharau? Akifuatiwa na LEMA?

Kama sisi tunavyokudharau wewe na hoja zako za ovyo na id yako ukiiwakilisha vilivyo choo na akili yako.
 
Mbona mimi Lissu ni mmoja wa wabunge ninaowadharau? Akifuatiwa na LEMA?

Hiyo dharau yako ungenitumia Kujidharau mwenyewe ! Usifuge Kichwa kwa ajili ya Kuotesha Nywele,ndevu na Chunus,?Akili yako ni Kama ya Komba amenenepa hovyo mpaka Mafuta yamepenya kwenye Ubongo Uwezo wa kufikiri sasa anaelekea Msituni KUNYA kwa kisingizio cha kwenda kudai Serikali 2 .
 
Kwakuwa unatumwa na CHADEMA kufanya uchochezi, unadhani kila mtu ni dizaini yako? Wengine sisi ni wazalendo, tunaipenda nchi yetu, na tunaipenda Amani.

Jibu hoja sio kurukaruka tu.
 
Sherehe za Miaka 50 ya Muungano ni mahali pazuri pa kuanzia kudai ukweli juu ya Muungano huu. Mtu yeyote anayetembea sasa katika Barabara ya Nyerere kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere hadi katikati ya jiji la Dar es Salaam; au Barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuanzia Morocco hadi katikati ya jiji, ataona kila mlingoti wa taa za barabarani umepambwa kwa picha za Waasisi rasmi wa Muungano, yaani Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, wakiwa katika matukio mbali mbali ya siku za mwanzo za Muungano. Picha hizo za Waasisi hao pia zimepambwa karibu kila mahali katika barabara za katikati ya Eneo Kuu la Kibiashara (CBD) la Jiji la Dar es Salaam.

Hata hivyo, Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Zanzibar, barabara zote kuu za Mji wa Zanzibar, ikiwamo ile inayotoka Mji Mkongwe kupitia Ikulu ya Zanzibar hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, hakuna picha hata moja ya Waasisi wa Muungano katika matukio yanayoonyeshwa kwenye picha zilizoko Dar es Salaam. Badala yake, barabara hizo zimepambwa kwa picha za Marais wa Zanzibar toka Mapinduzi ya mwaka 1964 hadi wa sasa. Ni ndani ya eneo la wageni maarufu (VIP) pekee ndio kuna picha moja ya Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume. Hii ni katika wiki ambayo Muungano huu umeadhimisha miaka hamsini tangu kuzaliwa kwake!

Kwa jinsi ambavyo tangu mwaka huu uanze Watanzania tumepigwa propaganda za kila aina juu ya Muungano na TBC na vyombo vingine vya habari vya serikali na vya binafsi, kukosekana kwa dalili yoyote ya sherehe za Muungano kwa upande wa Zanzibar wakati wa kilele cha sherehe hizo kunatilia shaka juu ya uimara wa misingi ya Muungano wenyewe. Hii ndio kusema kwamba pengine kuna ukweli katika hitimisho la Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwamba Tanganyika ndiyo imevaa koti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na pengine ndio maana Muungano huu haujawahi kuungwa mkono Zanzibar kwa kiasi ambacho wanaopenda kutuaminisha vinginevyo wamekuwa wakidai
 
Lisu ameongea Ukweli walipaswa wauchukulie Kama changamoto kisha warekebishe hizo Kasoro angalau itasaidia kuuweka Muungano vizuri,kwani sasa muungano umekaa Kimagumashi sana ! Kuna Maujanja mengi wapo wachache wanaonufaika na aina hii ya Muungano uliopo sasa ! Hawa wajanja ndio maadui wakubwa wa Akina Lisu,Mzee Warioba,Lipumba nk na sasa wanajaribu kuwaambukiza wafuasi wao ili wawasaidie kuwapinga akina Lisu ! Hawajui Kuwa wamechelewa sana Watanzania wa sasa hawadanganyiki wanaitaka Tanganyika kwa njia yeyote ile.
 
Sherehe za Miaka 50 ya Muungano ni mahali pazuri pa kuanzia kudai ukweli juu ya Muungano huu. Mtu yeyote anayetembea sasa katika Barabara ya Nyerere kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere hadi katikati ya jiji la Dar es Salaam; au Barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuanzia Morocco hadi katikati ya jiji, ataona kila mlingoti wa taa za barabarani umepambwa kwa picha za Waasisi rasmi wa Muungano, yaani Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, wakiwa katika matukio mbali mbali ya siku za mwanzo za Muungano. Picha hizo za Waasisi hao pia zimepambwa karibu kila mahali katika barabara za katikati ya Eneo Kuu la Kibiashara (CBD) la Jiji la Dar es Salaam.

Hata hivyo, Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Zanzibar, barabara zote kuu za Mji wa Zanzibar, ikiwamo ile inayotoka Mji Mkongwe kupitia Ikulu ya Zanzibar hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, hakuna picha hata moja ya Waasisi wa Muungano katika matukio yanayoonyeshwa kwenye picha zilizoko Dar es Salaam. Badala yake, barabara hizo zimepambwa kwa picha za Marais wa Zanzibar toka Mapinduzi ya mwaka 1964 hadi wa sasa. Ni ndani ya eneo la wageni maarufu (VIP) pekee ndio kuna picha moja ya Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume. Hii ni katika wiki ambayo Muungano huu umeadhimisha miaka hamsini tangu kuzaliwa kwake!

Kwa jinsi ambavyo tangu mwaka huu uanze Watanzania tumepigwa propaganda za kila aina juu ya Muungano na TBC na vyombo vingine vya habari vya serikali na vya binafsi, kukosekana kwa dalili yoyote ya sherehe za Muungano kwa upande wa Zanzibar wakati wa kilele cha sherehe hizo kunatilia shaka juu ya uimara wa misingi ya Muungano wenyewe. Hii ndio kusema kwamba pengine kuna ukweli katika hitimisho la Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwamba Tanganyika ndiyo imevaa koti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na pengine ndio maana Muungano huu haujawahi kuungwa mkono Zanzibar kwa kiasi ambacho wanaopenda kutuaminisha vinginevyo wamekuwa wakidai

Leo pale Bungeni alikuwepo Gen Mwamunyange na Makamanda wengine walitambulishwa wote na Spika lakini Kamanda Mkuu wa Zanzibar hajaonekana !
 
Lissu alikua na uwezo wa kutoka kisiasa bila kumtukana Nyerere

Lisu hajamtukana Nyerere isipokuwa amekosoa makosa machache ya kibinadamu aliyotenda Baba wa Taifa, Kama umewahi kusikiliza zile Hotuba za Nyerere kuna hotuba moja anakiri Kuwa Serikali yake kwa Miaka 25 ,walitenda Mabaya na Mazuri, Nyerere anasisitiza Serikali mpya ikiingia ikulu inachukua yale Mazuri na hasa ya msingi na kuyaendeleza,akashangaa eti hata Mazuri wanayawekea Question mark ! Sasa jua Nyerere mwenyewe alikubali akosolewe Yale mabaya aliyotenda yasitumike sasa na hapa kwenye muungano marekebisho hayakwepeki .
 
... Aitwe mchonganishi na mkorofi lakini ataendelea kusema. Kwa kuwa anajua anachosema na kumaanisha. Ifike mahali,Serikali itumie hoja za Lissu katika kuuboresha Muungano huu uliopo kwa kurekebisha kasoro anazozitanabaisha Lissu. Kwa vijembe,kejeli,kelele,makofi na vigelegele hoja za Lissu zitabaki na zitaendelea ...

Bravo counsellor TL!!
Anayosema TL ni yale ambayo kwa miongo mingi hayasemwi. Mambo nyeti ya kweli na ya kihistoria kwa afya ya TAIFA letu ambayo huenda yamefyagiliwa chini ya zulia. Mambo ya kiana yake (hovyo hovyo?) yaliyofanywa na watawala enzi zile yakapuuzwa kwa jitihda za propaganda na uongo. Enzi zile za zidumu fikra za mwenyekiti.... Tulipofika leo kama Taifa at cross roads hapavukiki kama mwendo utabaki vile vile, yaani ule wa kuendeleza uongo ambao kila kukicha unakuza ufa uliopo. The dark past highlighted by Counsellor TL is very relevant. In one facet, that dark past squares nicely with nasties such as authoritarianism. Yes, authoritarian rule was order of the day then. Nani anabisha?. Remnants of similar madness abound profoundly in mindset of the present leadership. No wonder freedom of expression vis-a- vis prospects for Mabwepande accomplishments in nails and teeth surgery are synonymous.
What TL advocates aint just MUUNGANO. Its a far bigger and significant picture. A break with the past for a brighter future, necessary condition remaining reconciliation with the past.
 
Mbona mimi Lissu ni mmoja wa wabunge ninaowadharau? Akifuatiwa na LEMA?
Wewe lazima utakuwa unafikiri kwa Kutumia Makalio ,Upeo wako ni Kama wa Lusinde ,nenda kawadharau wanaokupakata.
 
THE BEST TUNDU LISSU ana THAMANI KUBWA KULIKO WABUNGE WOTE WA CCM .
 
Lissu hajatumia busara kutoa maneno ya kashfa kwa waasisi wa Taifa hili na hilo limemshushia heshima sana.....

Unajua Ndugu yangu hakuna Busara kama kuongea UKWELI!!! na ukiwa msema kweli lazima utachukiwa tu kwa sababu Lisu anagusa ajira za watu hao wanaoshinda wanawadanganya kila siku kwa ahadi bandia.

KUBARI MABADILIKO DUNIA YA LEO NA NI YA MABADILIKO NA MABADILIKO NI KUAMBIANA UKWELI.
 
Wakati wa Bunge la Katiba Ndugu Lissu kabla ya kuanza kuchangia hoja ya ama serikali mbili au tatu alisikika akisema "aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi" aliporekebishwa na mwenyekiti aliyaondoa maneno hayo na kutumia mengine yanayofanana na hayo kimantiki yaani "aliyezoea kuishi kwa uongo hawezi kuwa mkweli". Mara baada ya utangulizi huo aliendelea kunukuu maandiko ya Dr. Mwakyembe, Prof.Shivji kuthibitisha kauli yake ya awali kwa kuonesha ukigeugeu wao kuhusu muundo muafaka wa muungano. Baadaye akanukuu mahojiano ya Mwl. Nyerere huko nyuma mara baada ya muungano aliposema kuwa Zanzibar walikuwa na uhuru wakuchagua ama kuendelea na muungano au la na Tanzania isingewalazimisha kwa mabomu na akalinganisha na maamuzi yaliyofanyika baadaye kumuondoa madarakani Ndg. Aboud Jumbe kama mfano wa ukigeugeu wa Mwalimu. Nadhani hili la mwisho ndio wapinzani wa Lissu wanalitumia kujenga hoja kuwa alimkosea heshima Hayati Baba wa Taifa.

hapo kwenye bluu, kwa mtazamo wako amemtukana au amemkosoa mkuu
 
Hakuna hoja ya msingi ambayo Lissu kaitoa kuhusu muungano. Zaidi zaidi ni kushinikiza wanzazibar kujitenga na kuwaaminisha kuwa wao ni koloni la Tanganyika ambayo ilishakufa miaka tele iliyopita kabla hata mwenyewe Lissu hajazaliwa.

aliyezoea kuishi kwa uongo ama vya kunyonga hawezi kumwelewa Lissu.
 
Back
Top Bottom