Tundu A. M. Lissu hapuuziki

Tundu A. M. Lissu hapuuziki

Mbona mimi Lissu ni mmoja wa wabunge ninaowadharau? Akifuatiwa na LEMA?

Lema tunajua alikupa mimba halafu akakukacha ndiyo maana una hasira nae...
ushauri wangu kwako acha umalaya pengine naweza kukuoa kama mke wa pili maana dini yangu inaruhusu...
 
Lissu hajatumia busara kutoa maneno ya kashfa kwa waasisi wa Taifa hili na hilo limemshushia heshima sana.....

Akili alizonazo Tundu Lissu huwezi kuzifananisha na akili za boga lolote la CCM including mwenyekiti wao!
 
Kwakuwa unatumwa na CHADEMA kufanya uchochezi, unadhani kila mtu ni dizaini yako? Wengine sisi ni wazalendo, tunaipenda nchi yetu, na tunaipenda Amani.

Eleza kitu kwa issue ya singasinga mbona unakimbia uch.i, basi kacha.mbe....
 
UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA TUNDU LISSU ndiye MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUTOKEA EAST AND CENTRAL AFRICA TANGU MUNGU AUMBE MBINGU NA ARDHI !
 
Wapuuzi hao.....wamezoea kukumbatia historia tu....na nyie katibiweni basi st.Thomas mzidi kumuenzi huyo mwasisi mnayemuona alikua YESU MNAZARETH

Kwa maneno haya machache umetoa kauli nzito sana. Mwenyewe huwa nakasirishwa sana pale viongozi wanapoiacha sekta ya afya inadidimia kabisa kwa sababu tu wao wanatibiwa Ulaya. Katika hili hakuna cha waasisi wala nani wote ni wabinafsi tu
 
Mkuu jamaa angekuwa anaongea yasiyo na maana basi bunge zima lisingetekwa na hoja zake,,wangempuuza tuu. lakini ajabu jamaa wooooooote wakisimama ni lissu tuu. si wampuuze waendelee na mambo mengine!!! Jamaa ni shida kiukweli,,kawakamata sana.
 
Lissu ameifumbua macho zaid zanzibar tunatamani angekuwa mzanzibari akamrithi maalim seif, zanzibar anakubalika na tumemtaka aje tena hongera sn Lissu mfano wak ww hamna kwa Tanganyika
 
Ukiona mpinzani wako anatumia nguvu nyingi kukejeli, vijembe, matusi, kashfa ujue hoja yako ina kaukweli na kawaida ya ukweli huwa unaumaaaaaa.
 
Mbona mimi Lissu ni mmoja wa wabunge ninaowadharau? Akifuatiwa na LEMA?

Na unaowaheshimu ni..... huna sera umefulia! Lissu anaongea ukweli ndio maana humuheshimu au unataka awe kama wabunge wa ccm na longo longo check yr fact before uanze kuropoka. Umdharau usimdharau you can't make any different idiot!
 
Leo amekuwa mtetezi wa hoja za CUF wakati jana alikuwa mtetezi wa hoja za Tanzania bara.

Leo anasema Tanganyika inainyonya Zanzibar wakati jaza alikuwa anasema Zanzibar inainyonya Tanzania Bara aliwakemea wazanzibari kwa kuvunja katiba ya Tanzania na katika hoja hiyo akasema CHADEMA haiwezi kushirikiana na CUF kwa sababu ya kitendo walichokifanya wakishirikiana na CCM zanzibar.

Sasa hapa sijui nani wa kupuuzwa.

Hizi ajenda zilizojificha zitalipeleka taifa pabaya
tuthibitishie uwongo wake ni upi?
 
Kwakuwa unatumwa na CHADEMA kufanya uchochezi, unadhani kila mtu ni dizaini yako? Wengine sisi ni wazalendo, tunaipenda nchi yetu, na tunaipenda Amani.
kama kukwapua mabilioni ya watanzania pale BoT, Kuendekeza ubaguzi na chuki ndo uzalendo, basi huo uzalendo hautakiwi kamwe Tanzania..
 
Lissu hajawahi kujibiwa hoja zake bungeni kamwe! Kinachofanyika pale bungeni ni mipasho,kejeli, na hata kumshambulia lissu yeye binafsi badala ya hoja zake! Kwa mawaziri wa jk walivyo, nimeamini kila mtu anaweza kuwa waziri!
 
Lissu hajatumia busara kutoa maneno ya kashfa kwa waasisi wa Taifa hili na hilo limemshushia heshima sana.....

Hebu yaandike hayo maneno ya kashfa maana wengine hatujayasikia mkuu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Lissu hana jipya mropokaji tuu, mtu ambaye hajawahi kushinda kesi
 
Back
Top Bottom