Throne Heir
Member
- May 17, 2018
- 60
- 101
Swali la kwanza kujiuliza hivi huyu wanae Muita mwenyekiti wa Kudumu (Nkulunzinza) uwa ana muda wa kukaa Kutafakari/Kufikiria hata kidogo au anawaza Kupiga deal tu?
Mwanafalsafa Marchiaveli anasema Prince lazima azungukwe na watu ambao hata mtu mwenye hekima akiwangalia tu kwa Haraka anasema naam Prince yupo mikono salama na anapata mawazo ya GREAT DESIGN.
Eeh sasa Nkurunzinza amezungukwa masaa 24 na Sugu, Lema and the Like unajiuliza hihihihii hawa wanamshauri nini huyu eeh? any way wao ndio wanajua matango wanayomlisha huko, ukitaka kujua ngoma hiyo ni ya watoto subiri Move ya Prince, kila move anayopiga Prince ni Blanda/boko tupu maskini weee wanatia huruma.
Ebu muangalie huyu muuza Vitabu wa Mbutu yeyee ni pumba 24/7 na kuwaaminishaa watu ya uongo wa Kitoto ili auze vitabu vyakeee mkono uende Kinywani lakini nae anasikilizwa huko.Sasa hawa kwa uwezo wao mdogo unajiuliza hiyo 2020 wanataka kuchukua dola ya nani au wao Kichama chao ni burea de change hivyo watapata Dola nyingi ifikapo 2020 kuna mtu wanamtegemea awape ili wapite Kumsafisha kipindi cha Kampeni? (Kumbuka EL).
Nilishasema na naamini hivyo iki Kikoba Cha Mwenyekiti wa Kudumu Kipo kwa maslahi yao tu, hakipo na Hakiwezi kumsaidia Mtanzania
Jaribu Kupima uwezo wao wote hawa wanaogawana madaraka hapo Ufipa kwa sasa + Uwezo wa NG'O (akili na Mali) Hawawezi wote kwa Pamoja Kulingana ama kushindana Na TL.
Enyi Mjidanganyao Nawambieni mipango ya kuchukua dola kama msemavyo HAKIKA nawambia si rahisi kama kula RUZUKU. Hewe TL Hawa watu usiwaamini kabisa yaaani akitokea mtu siku akifika Bei UTAUZWA wewe mchana kweupe kama Nyumba za Dr. shika.
Muda wa kukimbia genge hili ni sasa ili mawazo yako yaende kuishi huko waachie Kikoba chao.
Mwanafalsafa Marchiaveli anasema Prince lazima azungukwe na watu ambao hata mtu mwenye hekima akiwangalia tu kwa Haraka anasema naam Prince yupo mikono salama na anapata mawazo ya GREAT DESIGN.
Eeh sasa Nkurunzinza amezungukwa masaa 24 na Sugu, Lema and the Like unajiuliza hihihihii hawa wanamshauri nini huyu eeh? any way wao ndio wanajua matango wanayomlisha huko, ukitaka kujua ngoma hiyo ni ya watoto subiri Move ya Prince, kila move anayopiga Prince ni Blanda/boko tupu maskini weee wanatia huruma.
Ebu muangalie huyu muuza Vitabu wa Mbutu yeyee ni pumba 24/7 na kuwaaminishaa watu ya uongo wa Kitoto ili auze vitabu vyakeee mkono uende Kinywani lakini nae anasikilizwa huko.Sasa hawa kwa uwezo wao mdogo unajiuliza hiyo 2020 wanataka kuchukua dola ya nani au wao Kichama chao ni burea de change hivyo watapata Dola nyingi ifikapo 2020 kuna mtu wanamtegemea awape ili wapite Kumsafisha kipindi cha Kampeni? (Kumbuka EL).
Nilishasema na naamini hivyo iki Kikoba Cha Mwenyekiti wa Kudumu Kipo kwa maslahi yao tu, hakipo na Hakiwezi kumsaidia Mtanzania
Jaribu Kupima uwezo wao wote hawa wanaogawana madaraka hapo Ufipa kwa sasa + Uwezo wa NG'O (akili na Mali) Hawawezi wote kwa Pamoja Kulingana ama kushindana Na TL.
Enyi Mjidanganyao Nawambieni mipango ya kuchukua dola kama msemavyo HAKIKA nawambia si rahisi kama kula RUZUKU. Hewe TL Hawa watu usiwaamini kabisa yaaani akitokea mtu siku akifika Bei UTAUZWA wewe mchana kweupe kama Nyumba za Dr. shika.
Muda wa kukimbia genge hili ni sasa ili mawazo yako yaende kuishi huko waachie Kikoba chao.