Hili tunda linaitwa NGULULU,huliwa na watoto kama zabibu lina sukari na mlendamlenda,wakubwa pia tunayala na kuyatumia kama gundi ofisini kwa sababu ya kunatanata kwake,yanapatikana zaidi Moshi(v)vijiji vya Chemchem na Mikocheni.
Unaniuliza mimi mkuu?
Ndio kaka
Dah, mie wala sijui kwakweli.
Kwetu tunaliita tangawizi, ni matunda matamu sana
Kwani imekuaje binti.Kweli bongo tumeendelea, hadi mirembe wana jamiiforums
Zaatama izo mia ntuhu zaakaa
Kwetu Tukuyu tunaziita Songwa, Mti wake ni Mgumu hatari. Walimu wakiagiza Fimbo shuleni enzi hizo, wale wanoko wanaleta hiyo Misongwa, huwa haikati migumu wakorofi mbona mtafurahi! Zikiwa Mbichi ni Chachu Chachu.Hauna shida kabisa huo ndio maana mazao yake huliwa na viumbe hai