Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,649
- 20,988
Naona kama hili lililotutokea ni fedhaha kubwa hasa kwa ustawi wa shirika letu ambalo lilikuwa katika kujaribu kunyanyuka na pia kujijenga kwa wateja ili hatimaye kujenga confidence kwao ya kwamba ATCL sasa ni shirika maridadi.
Nazungumza haya huku ni kiwa na hofu kuu ya kwamba huenda wadai wetu wakatumia sasa njia hii RASMI katika kukabiliana na madeni ambayo wamekuwa wakitudai kwa mikataba mbalimbali ambayo tumeivunja kwa kutokuwa na tija kwa taifa letu.#waliyoyafungulia maji,ndiyo hao hao watakaoyafunga maji hayo.
Nazungumza haya huku ni kiwa na hofu kuu ya kwamba huenda wadai wetu wakatumia sasa njia hii RASMI katika kukabiliana na madeni ambayo wamekuwa wakitudai kwa mikataba mbalimbali ambayo tumeivunja kwa kutokuwa na tija kwa taifa letu.#waliyoyafungulia maji,ndiyo hao hao watakaoyafunga maji hayo.