Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za JUMAPILI wanaJF;
Leo tunaangazia harakati za makundi ya Wanaharakati NCHINI katikati ya upepo huu wa siasa zinazovuma NCHINI
Tunazungumza na
Marcus Albany - Policy forum
Ussu Malya - Mkurugenzi TGNP
Zainabu Nyumba - Mjumbe baraza kuu CUF
Tunakaribisha maoni na mtazamo wenu wanaJF kufuatia kauli za hivi karibuni kutokana na kulaumiwa Wanaharakati kuchochea vurugu.
RobotArray
[h=2]
Re: Tunawatathmini vipi Wanaharakati NCHINI na vuguvugu la kisiasa (Live on Star TV)[/h]
Leo tunaangazia harakati za makundi ya Wanaharakati NCHINI katikati ya upepo huu wa siasa zinazovuma NCHINI
Tunazungumza na
Marcus Albany - Policy forum
Ussu Malya - Mkurugenzi TGNP
Zainabu Nyumba - Mjumbe baraza kuu CUF
Tunakaribisha maoni na mtazamo wenu wanaJF kufuatia kauli za hivi karibuni kutokana na kulaumiwa Wanaharakati kuchochea vurugu.
RobotArray
Join Date : 11th February 2006
Location : Here...!
Posts : 8,538
Rep Power : 100000
Location : Here...!
Posts : 8,538
Rep Power : 100000
[h=2]
Wanasemaje juu ya mfumuko wa bei wa sasa? Dar nasikia 'sado' ya nyanya iliyokuwa inauzwa 2,000 mwezi Disemba leo inauzwa 7,000!
Tunairejea mada hii kama nilivyodokeza Jumapili ya wiki iliyopita na tutaanzaia hapa kwa hoja hii ya Mkuu INVISSIBLE na hoja nyinginezo ambazo hatukuzikamilisha:
Mada Jumapili ya leo itasomeka kama: Wanaharakati na Juhudi za kuikwamua Jamii ktk Lindi la Umaskini
Karibuni wadau kwa mawazo, michango, na maswali.
Tunairejea mada hii kama nilivyodokeza Jumapili ya wiki iliyopita na tutaanzaia hapa kwa hoja hii ya Mkuu INVISSIBLE na hoja nyinginezo ambazo hatukuzikamilisha:
Mada Jumapili ya leo itasomeka kama: Wanaharakati na Juhudi za kuikwamua Jamii ktk Lindi la Umaskini
Karibuni wadau kwa mawazo, michango, na maswali.