Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 17,572
- 27,314
Sio tu kumekuwa na Kasumba ya Cancel Culture; bali kutegemea baadhi ya watu kuwa malaika na kuwalaumu, badala ya lawama hizo kuzipeleka kwa mashetani tunaowalipa...
Binafsi lawama kwa wasanii tazipeleka pale wakitoa kazi mbovu (sitaisikiliza) na sio kuangalia msimamo wao katika jamii au busara au their political prowess....
Je na sisi tunawaunga mkono hao wasanii ? Ni lini ulishatoa pesa kununua kazi ya msanii au kuingia kwenye Show yake ? Je ni vema kuwashangaa hawa wabangaizaji (usidanganywe na appearance) pale muda wa mavuno mara moja kwa miaka mitano wanapoitwa na kupewa kitu kidogo ili wagange njaa ? Je tuwalaumu wanaochukua kitu kidogo au tuendelee kuwalaumu wanaotoa na kuchezea Kodi zetu ? Je ni kweli tunawa-follow (hata kama tunafanya hivyo ni kwa kupenda kazi zao na sio sura zao) AU hata followers ni wachache hadi wanatumia nguvu kununua follows (Bots) ?
Hawa madogo katika kazi ya Usanii nawapa Heko, ni kipindi pekee ambacho radio zinaweza zikawa na playlist ya Bongo mwanzo mwisho bila kutafuta za ughaibuni; kwa hili wamejitahidi na wanafanya kazi yao ipasavyo... (tofauti na sekta nyingi kwa miaka ya hivi karibuni zinapwaya big time)
Si vema kuwamaliza / kuwaua hivyo tukose pa kukimbilia kupunguza maumivu tunayopewa na hawa watunga Sera - Ukizingatia Usanii wanaofanya wao hauvutii na athari yake ni ya muda mrefu
Binafsi lawama kwa wasanii tazipeleka pale wakitoa kazi mbovu (sitaisikiliza) na sio kuangalia msimamo wao katika jamii au busara au their political prowess....
Je na sisi tunawaunga mkono hao wasanii ? Ni lini ulishatoa pesa kununua kazi ya msanii au kuingia kwenye Show yake ? Je ni vema kuwashangaa hawa wabangaizaji (usidanganywe na appearance) pale muda wa mavuno mara moja kwa miaka mitano wanapoitwa na kupewa kitu kidogo ili wagange njaa ? Je tuwalaumu wanaochukua kitu kidogo au tuendelee kuwalaumu wanaotoa na kuchezea Kodi zetu ? Je ni kweli tunawa-follow (hata kama tunafanya hivyo ni kwa kupenda kazi zao na sio sura zao) AU hata followers ni wachache hadi wanatumia nguvu kununua follows (Bots) ?
Hawa madogo katika kazi ya Usanii nawapa Heko, ni kipindi pekee ambacho radio zinaweza zikawa na playlist ya Bongo mwanzo mwisho bila kutafuta za ughaibuni; kwa hili wamejitahidi na wanafanya kazi yao ipasavyo... (tofauti na sekta nyingi kwa miaka ya hivi karibuni zinapwaya big time)
Si vema kuwamaliza / kuwaua hivyo tukose pa kukimbilia kupunguza maumivu tunayopewa na hawa watunga Sera - Ukizingatia Usanii wanaofanya wao hauvutii na athari yake ni ya muda mrefu