Tunavyosutwa na Prof KEN EDWARDS

Tunavyosutwa na Prof KEN EDWARDS

Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu SHUJAA aliyeamua kuweka mbele UZALENDO mbele ya UBINAFSI na aliamua kuinvest JASHO na DAMU yake kwa ajili ya nchi hii tangu alipoamua kuondoka kwao Jamaica miaka ya 60..

Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania

Hakuishia hapo aliamua kwenda kuanzisha chuo cha BIASHARA kule Arusha na leo serikali yetu ya KIFISADI inajidai ni chake na kwa kusudi walimnyima huyu mzee URAIA huku majitu kama akina Subash Patel wakipewa uraia, waliamua kumtelekeza wakati anaumwa mpaka umauti ulipo mfika

Sisi wana JAMII FORUMS tunapenda kuinyesha hii serikali ya kidhalimu kuwa in this day and age ambayo we cant find HEROES kuwa tutamuenzi na tunauomba uongozi wa UD wamuenzi halau hata kwa kukipa kitizo cha BIASHARA jina lake

Inna Lillahi Wa Inna Illahi Raj'uun

Mwenye picha tafadhalini wekeni hapa na btw huyu jamaa alioa Mwanamke wa Kitanzania enzi hizo...mazishi yameahirishwa mpaka WEEKEND ijayo...kama kuna watu wenye michango na ideas za namna ya kumuenzi huyu Shujaa tafadhalini leteni mawazo yenu mimi niko close na jamaa wanaotaka kumfanyia kitu japo Serikali bado imegoma hata kutuma salam za rambi rambi

May The Almighty rest his soul in eternal peace...So Jah Seh
 
Posted by Game Theory: Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu ...Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania...


Kwa mtaji huo basi, nina ahakika wewe umri wako ni mkubwa na hivyo ulibahatika kusomeshwa na huyu shujaa. Utakuwa unamfahamu mwalimu wako.

Ningependa kukuuliza, Prof. Nkhululi alisoma shahada gani na gani, wapi, lini.
 
Posted by Game Theory: Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu ...Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania...


Kwa mtaji huo basi, nina ahakika wewe umri wako ni mkubwa na hivyo ulibahatika kusomeshwa na huyu shujaa. Utakuwa unamfahamu mwalimu wako.

Ningependa kukuuliza, Prof. Nkhululi alisoma shahada gani na gani, wapi, lini.
Ligi inaanza....
 
Yo Yo,

Ni hivi, hatuwezi kuwa hapa all the time tumekalia kukandia kina Kikwete na Pinda na Chiligati na Zitto like it's nobody's business halafu sisi wenyewe hatudaiani umakini, details, usahihi, information, na kutofautiana.

Nadhani huwezi kujenga a high caliber deliberative forum kama mwendo wenyewe ni kukubaliana na kupigana ma thanks tu kama wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM.

Huyo Game Theory lazima atakuwa anamjua sana marehemu manake ameanza thread kwa lugha za "nyinyi ni watoto...hamkusomeshwa na huyu...hamumjui, huyu mtu ni hivi na vile..."

Sasa kwa kuwa yeye ni mkubwa, na kwa hivyo lazima kasomeshwa na marehemu (logic yake yeye, si yangu) basi napenda anambie mwalimu wake, Prof. Nkhululi mwenyewe alipata shahada gani na gani, wapi na lini.
 
Prof Ken Edwards alias Joshua Mukhululi joined the University of Dar Es Salaam in 1976 after graduating from California State University and Stanford Graduate School of Business. He was born in Jamaica on 22nd of January in 1945. He leaves behind four daughters and two sons. - May his soul rest in eternal PEACE.

Kuhani,

..kuna mchangiaji amepost "wasifu" wa Ken Edwards.

..labda unataka taarifa za undani zaidi, lakini this is what we have so far.
 
Joka Kuu,

Ahsante, lakini ningependa kujua elimu yote rasmi ambayo marehemu mwalimu Nkhululi aliipata.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).

Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu SHUJAA ...Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania
 
Joka Kuu,

Ahsante, lakini ningependa kujua elimu yote rasmi ambayo marehemu mwalimu Nkhululi aliipata.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).
Kuna kingine unatafuta.....elimu rasmi ipi unaoitaka zaidi ya hii uliyopewa
Prof Ken Edwards alias Joshua Mukhululi joined the University of Dar Es Salaam in 1976 after graduating from California State University and Stanford Graduate School of Business.
 
Joka Kuu,

Ahsante, lakini ningependa kujua elimu yote rasmi ambayo marehemu mwalimu Nkhululi aliipata.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).

Basi unganisha dots. Mtu hawezi kuwa Prof. mpaka awe na Phd. Na kama hakuwa na Phd. basi Masters alikuwa nayo.

Kwa miaka ya nyuma Masters was all he needed.
 
Joka Kuu,

Ahsante, lakini ningependa kujua elimu yote rasmi ambayo marehemu mwalimu Nkhululi aliipata.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).

Labda ungejaribu kumpigia simu huyu muungwana Fred Moshi
0787-873-660
nina uhakika atakujibu maswali yako yote, au ni lazima majibu yatoke kwa Game Theory?

https://www.jamiiforums.com/403870-post19.html
 
Basi unganisha dots. Mtu hawezi kuwa Prof. mpaka awe na Phd. Na kama hakuwa na Phd. basi Masters alikuwa nayo.Kwa miaka ya nyuma Masters was all he needed.

Hmmmmm....aisee inabidi uangalie tena unachosema hapo....kuna watu wamezaliwa, kulelewa, na kukulia kwenye academia hapa.....unachosema si sahihi hususan kwa enzi hizo...enzi hizi sijui.
 
Basi unganisha dots. Mtu hawezi kuwa Prof. mpaka awe na Phd. Na kama hakuwa na Phd. basi Masters alikuwa nayo.

Kwa miaka ya nyuma Masters was all he needed.

"Masters was all he needed" au unasema lazima alipata PhD?

Unajikanyaga! Tunyooshe kauli jamani.

Professor, katika nchi aliyotekea marehemu Nkhululi akija Tanzania, Marekani, Professor maana yake mwalimu wa chuo! Alipojiita professor kwa mantiki ya alikotoka maana yake anafundisha Chuo Kikuu, UDSM. Kama chuo kinataka ma professor wao lazima wawe na Ph.D hicho ni kitu tofauti, lakini professor ni mwalimu tu! Na hata wewe umesema UDSM walikuwa kipindi hicho wanataka Masters tu, ili uwe professor hapo!

Sasa ningependa kujua mwalimu Nkhululi alipata elimu gani rasmi, wapi na lini.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).

Najua wengi wenu humu bado umri wenu ni mdogo hivyo hamkubahatika kusomeshwa na huyu SHUJAA ...Prof Edwards ndie mwanzilishi wa KITIVO CHA BIASHARA pale UD na amewasomesha watu wengi na wengine leo ni mawaziri na mabosi wa mashirika mbali mbali Tanzania
 
Naona naanza kuungwa mkono kwenye hii ligi ya kombe la mbuzi na wale wale waloibeza ligi.
 
Hmmmmm....aisee inabidi uangalie tena unachosema hapo....kuna watu wamezaliwa, kulelewa, na kukulia kwenye academia hapa.....unachosema si sahihi hususan kwa enzi hizo...enzi hizi sijui.

Na vilevile kumbuka kuwa kuna watu ni academics hapa. Ukanganisha dots tu nothing more.
 
"Masters was all he needed" au unasema lazima alipata PhD?

Unajikanyaga! Tunyooshe kauli jamani.

Professor, katika nchi aliyotekea marehemu Nkhululi akija Tanzania, Marekani, Professor maana yake mwalimu wa chuo! Alipojiita professor kwa mantiki ya alikotoka maana yake anafundisha Chuo Kikuu, UDSM. Kama chuo kinataka ma professor wao lazima wawe na Ph.D hicho ni kitu tofauti, lakini professor ni mwalimu tu! Na hata wewe umesema UDSM walikuwa kipindi hicho wanataka Masters tu, ili uwe professor hapo!

Sasa ningependa kujua mwalimu Nkhululi alipata elimu gani rasmi, wapi na lini.

Lazima Game Theory anajua, yeye ni mkubwa kuliko wengi wetu humu, na hivyo kasomeshwa nae tofauti na sisi ambao hatukubahitika (logic aliyoitumia yeye, si yangu).

Unganisha dots tu (period). You don't need to write all that crap.
 
Na vilevile kumbuka kuwa kuna watu ni academics hapa. Ukanganisha dots tu nothing more.

Haijalishi kama kuna ma academics hapa ua la! Ulichosema si sahihi. Kwa kukusaidia tu, nenda katafute Prospectus za miaka ya nyuma halafu soma credentials (ikiwa pamoja na titles zao) zao kule nyuma...
 
Haijalishi kama kuna ma academics hapa ua la! Ulichosema si sahihi. Kwa kukusaidia tu, nenda katafute Prospectus za miaka ya nyuma halafu soma credentials (ikiwa pamoja na titles zao) zao kule nyuma...

Hii thread nzima ni kwa ajiri ya mchango wa Prof. Ken Edwards. Kama huna cha kusema kaa kimya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom