MPOKEA KODI
Senior Member
- Apr 1, 2020
- 198
- 143
Mnafanya delivery Nikon na gharama zikoje?
Tunafanya delivery kea wakazi wa Dar es Salaam..Mikoani tunatuma kea njia ya basiMnafanya delivery Nikon na gharama zikoje?
Lita 3 ni Tsh 70,000
Lita 4 ni Tsh 80,000
Lita 5 ni Tsh 90,000
Lita 4 =Tsh 75,000
Lita 3 = Tsh 60000
We jamaa haya majibu unatoaga wapi?@Hivi vyombo vinawafaa baniani




Zinasaga karanga kuwa siagi 'PEANUT BUTTER'
Zinasaga karanga kuwa unga .
Zinasaga vitu vikavu.
Zinasaga viungo ikiwemo mdarasini.
Zinasaga mahindi.
Zina uwezo wa kusaga unga wa lishe na mbegu za boga.
Zinasaga kunde za bagia.
Zinasaga tangawizi kavu na mbichi.
Zinasaga vitunguu saumu.
Zinasaga kahawa na buni ya kahaawa.
Zinasaga mitishamba kwa ajili ya dawa.
Zinasaga karanga kuwa siagi 'PEANUT BUTTER'
Zinasaga karanga kuwa unga .
Zinasaga vitu vikavu.
Zinasaga viungo ikiwemo mdarasini.
Zinasaga mahindi.
Zina uwezo wa kusaga unga wa lishe na mbegu za boga.
Zinasaga kunde za bagia.
Zinasaga tangawizi kavu na mbichi.
Zinasaga vitunguu saumu.
Zinasaga kahawa na buni ya kahaawa.
Zinasaga mitishamba kwa ajili ya dawa.We jamaa haya majibu unatoaga wapi?@![]()
Sufuria 3 pamoja na mifuniko.
Karai 1 na mfuniko wake.
Frying pan 1