Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,282
- 7,376
Mtu akipata kiwanja hii Morogoro road kuanzia Kibaha to Chalinze ni sehemu nzuri ya kuwekezaBora kiwanja kibaha kuliko Jeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu akipata kiwanja hii Morogoro road kuanzia Kibaha to Chalinze ni sehemu nzuri ya kuwekezaBora kiwanja kibaha kuliko Jeti
Mtu akipata kiwanja hii morogoro road kuanzia kibaha to chalinze n sehemu nzuri ya kuwekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na weweBora kiwanja kibaha kuliko Jeti
Chochote kila yan point yangu ni kuwa Hii morogoro road ndo ina nafasi ya kukua kwa harakaunawekeza nini boss sheli au kiwanda?
Siwezi kuishi huko bora nikakae Bagamoyo au KibahaUkanda airport yote kitunda,kivule huko sijui gongo lamboto,chanika, pugu yaani naona vurugu tuu bila kusahau mbagala....
Watu washajijengea mentality huko wanakaa wakurya tu.Habari Wana jukwaa
Kiwanja kinauzwa
Location: KITUNDA, magole
Wilaya ya ilala, ( Jimbo la UKONGA)
SIFA ZAKE
kina ukubwa wa sqm 900 ( meter 30 kwa 30)
Kipo kwenye barabara ya mtaa
Kipo tambarare chote
Huduma ya maji, umeme na barabara zote zipo
Kutoka banana (nyerere road ni km 8)
PRICE 16,000,000/
Mawasiliano: 0785 857564
View attachment 2331334View attachment 2331335View attachment 2331336View attachment 2331338View attachment 2331339View attachment 2331340View attachment 2331342
Hayo makosa ndo walifanya wazee wetu zamani eti ilikuwa wanasema Kinondoni studio na Mkwajuni pamoja na Tazara ilikuwa porini ila sasa hivi hapakamatiki watanzania Sisi ni wabinafsi sana wakati mwingine kama una uwezo na nafasi wekeza kwa ajili ya watoto halafu usijenge kiache ww kanunue ujenge huko kibaha au Bagamoyo unapo papenda mpaka watoto wakikua hpo kitunda pameshakuwa hot in town sometimes tuwekeze kwa ajili ya watoto wetu tuache ubinafsi.Sijui kwa nini Mbagala, Gongolamboto, Kitunda naona kumekaa kushoto sana
Kibiashara pamekaa kulia sababu kuna population kubwa. Population means money.Sijui kwa nini Mbagala, Gongolamboto, Kitunda naona kumekaa kushoto sana
Huko usalama tosha tembea masaa yote panya road na vibaka awatii mguu huko.Watu washajijengea mentality huko wanakaa wakurya tu.
Wakurya ni asilimia 10 tuWatu washajijengea mentality huko wanakaa wakurya tu.
Ok, watakuja mkuuMkaribie Kibaha fully Lami bei za viwanja ni chee
Ukitoka NIDA kuelekea Pangani - Bagamoyo kuna wawekezaji wanatengeneza Bandari kavu eneo lile kuna viwanja kibao vinauzwa ... maji yapo na huduma ya umeme pia ipo
Karibuni Kibaha
Unazungumzia Vigwaza auMkaribie Kibaha fully Lami bei za viwanja ni chee
Ukitoka NIDA kuelekea Pangani - Bagamoyo kuna wawekezaji wanatengeneza Bandari kavu eneo lile kuna viwanja kibao vinauzwa ... maji yapo na huduma ya umeme pia ipo
Karibuni Kibaha
Kibaha sehemu gani?Mkaribie Kibaha fully Lami bei za viwanja ni chee
Ukitoka NIDA kuelekea Pangani - Bagamoyo kuna wawekezaji wanatengeneza Bandari kavu eneo lile kuna viwanja kibao vinauzwa ... maji yapo na huduma ya umeme pia ipo
Karibuni Kibaha