Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

emmane farms

Member
Joined
Aug 12, 2016
Posts
29
Reaction score
19
Kama heading inavyosema,tupo mbezi louis tunapokea oda za vifaranga kienyeji chotara wa siku moja hadi 7 kwa bei ya sh 2000 kifaranga kimoja, na bei ya sh 10,000 kwa tray km unataka kutotolesha mayai kwetu.

PM,piga,text au WhatsAp namba hii 0657666740,karibuni.
 
mkubwa embu fafanua tena tangazo lako.unauza vifaranga kwa 2000 au unauza 2000 ? nimechukua namba nitakulea mayai !
 
Mbona bei kubwa sana inakaribiana na bei ya kuku mkubwa.
 
mkubwa embu fafanua tena tangazo lako.unauza vifaranga kwa 2000 au unauza 2000 ? nimechukua namba nitakulea mayai !

Karibu,bei sh 2000 kifaranga na elfu 10 tray utakaloleta mwny kutotoleshewa.
 
Kama heading inavyosema,tupo mbezi louis tunapokea oda za vifaranga kienyeji chotara wa siku moja hadi 7 kwa bei ya sh 2000 kifaranga kimoja, na bei ya sh 10,000 kwa tray km unataka kutotolesha mayai kwetu.

PM,piga,text au WhatsAp namba hii 0657666740,karibuni.
mkuu, iyo buku 2 kwa kifaranga haijalishi atakuwa na umri gani kati ya siku 1-7?
na je kama nikitaka kununua mayai kwako bei ikoje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom