Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
naamini wengi wamepitia hatua hii
hahaaa watu wamejaa sound nyingi siyo?hahaaa!hizi ni nzuri sana kuliko PM na meseji za facebook zilizojaa utapeli!
Dah wadau mnanikumbusha mbali mnooo. basi hapo bado hujaichora chora makopa kopa, hujaipulizia pafyumu, hahahaha kweli enzi za mwalimu ni noooooooooooooma tupu. watoto wa sikuhizi hawawezi hizi
naamini wengi wamepitia hatua hii
dah mkuu we acha tu lakini siku hizi wababaishaji watupu wao kuvuana nguo tu, kisha kila mtu nakula kona haaa haaaaa kama mbuzi vile lol!Halafu unaifungashia na Handkachif nyeupe iliyochorwa Love. "Life was so beautiful".