Tunatoka mbali sana wakuu, hebu chekini hii!!

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,398
319
naamini wengi wamepitia hatua hii
62862_155868654432848_100000291435958_418408_7377354_n.jpg
 
Dah wadau mnanikumbusha mbali mnooo. basi hapo bado hujaichora chora makopa kopa, hujaipulizia pafyumu, hahahaha kweli enzi za mwalimu ni noooooooooooooma tupu. watoto wa sikuhizi hawawezi hizi
 
Kuna dem mmoja alinitokea tukiwa shuleni aliniandikia waraka ambao majuzi hapa mke wangu aliuharibu maana niliuweka uje kuwa sehemu ya mali za urithi wangu.

Dah enzi zile shuleni tulikuwa tunaazimana madaftari huku tukificha barua za hisia kali kwenye majalada yake. hahaha
kweli tumetoka mbali.
 
Dah wadau mnanikumbusha mbali mnooo. basi hapo bado hujaichora chora makopa kopa, hujaipulizia pafyumu, hahahaha kweli enzi za mwalimu ni noooooooooooooma tupu. watoto wa sikuhizi hawawezi hizi


Watoto wa kiepe na muvi watavijulia wapi vitu vya studio kama hivi?

Hayo mambo yetu bana. Unaandika. Unampa mtu anakupelekea. Then unaskizia.

Iko poa sana.
 
Nikinywa maji nakuona ndani ya kikombe..... kweli udanganyifu wa kimapenzi ulianza enzi!!
 
Halafu unaifungashia na Handkachif nyeupe iliyochorwa Love. "Life was so beautiful".
dah mkuu we acha tu lakini siku hizi wababaishaji watupu wao kuvuana nguo tu, kisha kila mtu nakula kona haaa haaaaa kama mbuzi vile lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom