Tunatoa mafunzo ya biashara na usimamizi bure

Tunatoa mafunzo ya biashara na usimamizi bure

Mjengajiafya

Member
Joined
Feb 2, 2023
Posts
58
Reaction score
44
Tuna Upungufu wa Vijana Wa Masoko na Mauzo Ofisini Kwetu.

Kama Unamjua Kijana Anayeweza Kufanya Masoko na Mauzo mpe Namba yangu
0742 744 363

Tunapatikana Mliman City, Dar Es Salaam.
 
Unaweza kuwa msambazaji wa bidhaa zetu kwakuwa na mtaji mdogo tu , tunatoa mafunzo bure kabisa , utalipwa kutokana na performance, Umri kuanzia 20+ yrs
 
Unaweza kuanza bila hata hiyo 46,000/=
Shida nikutokuuliza au kutokujua , hata bila iyo 46000/= unaanza na mafunzo bure na unafanya business,
 
Yaani mtaji ni wangu,halafu mnanilipa kutokana na uuzaji wa bidhaa ambazo ni zangu mmeniuzia?
Mkichukua 46000 kwa watu wa sampuli mnayoifikiria hata 100 tu,tayari mmeshauza milioni 4na laki 6.Good idea.
 
46,000 yangu ya mtaji alafu mnilipe kulingana na mnavoona nyie inafaa!! Kwani huo mtaji mmenipa nyie ? Bidhaa mmenipa bure? Takataka
 
Yaani mtaji ni wangu,halafu mnanilipa kutokana na uuzaji wa bidhaa ambazo ni zangu mmeniuzia?
Mkichukua 46000 kwa watu wa sampuli mnayoifikiria hata 100 tu,tayari mmeshauza milioni 4na laki 6.Good idea.
Haipo hivyo kuwa na taarifa sahihi nimuhimu sana au kuuliza tu nijambo zuri sana ,shida huwa Tukiona kitu unataka uonekane sasa wewe ndo mtaalam , sisi hatukupi bidhaa ukauze boss , leta watu wenye changamoto kiafya tuwasaidie na siyo kukupa bidhaa ukatembeze
 
46,000 yangu ya mtaji alafu mnilipe kulingana na mnavoona nyie inafaa!! Kwani huo mtaji mmenipa nyie ? Bidhaa mmenipa bure? Takataka
Hatukupi bidhaaa , ukiwa na taarifa sahihi inaweza kukusaidia sana , sisi hatutoi bidhaa ukatembeze kama machinga boss , af ndo tukulipe hapana , leta watu wenye changamoto za kiafya bila hata kutoa hiyo 46000 wapatiwe huduma then uone kama utalipwa au hautalipwa. Ask before
 
Why bandiko lako halijakamilika kiongozi???

Uwe unajitosheza basi
Mafunzo ya masoko yapi?
Vijana wawe na vitu gani?
Malipo yenu na utaratibu wa kazi.
You Wrote short....
 
Back
Top Bottom