Nyakisasa Empire
Member
- Sep 21, 2022
- 62
- 62
Mpaka madeni ya mahari na michango ya harusi?Wakuu tunatoa huduma ya kukusanya Madeni ya kawaida na Madeni Sugu kwa wenye uhitaji.
Kuna wenzangu wametajwa?Wewe na wenzako ni kina nani, ofisi zenu ziko wapi, Mawasiliano yenu yako wapi, utaratibu wenu ukoje.... Mbona uko juu juu kama mdada wa kitanga[emoji3525]
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Utakuwa mkopaji sugu! Tutakufikia na kukuhudumia.Kazi ya kinoko
Ya kutafutana watu ubaya.
Sawa mkuu 😂😂😂Utakuwa mkopaji sugu! Tutakufikia na kukuhudumia.
Kaa tayari
Mzuri sana, hakuna vulugu ni soft Collection and Litigation. Hatuna mambo mengiUtendaji kazi wenu upoje
Na maanisha tunalipanaje mimi na.nyieMzuri sana, hakuna vulugu ni soft Collection and Litigation. Hatuna mambo mengi
Maswali ya msingi sana haya maana mkimfuata kienyeji mdaiwa sugu anaweza kuwageukia na kusema mlivamia mkamsababishia upotevu wa assets zake zenye thamani ya milioni 10 na baadae deni linageuka linarudi kwenu.Na maanisha tunalipanaje mimi na.nyie
2.nawaonyesha tu mdeni mnaaza kazi au kuna taratibu
3. Akigoma kbsa kulipa eitha kwa kutaka ama kutotaka mtachukua hatua gani
4.mpo tanzania nzima au dar tu
0782396666Weka contact. Kuna mtu ana 7mil yangu tangu 2018
Hiyo ndo inaitwa relationship debtHii huduma safiiii. Kuna Mtu kala nauli hajaja, hili Nalo mnaliangalia??