Tunatoa huduma ya Printing

Tunatoa huduma ya Printing

Karibuni sana wateja wetu kwa huduma bora.
 
v1.jpeg


KARIBUNI SANA WATEJA WETU.

Labels za bidhaa (stickers) ---- ** Tsh. 500/=** kwa A4 sticker
Business cards
Vitambulisho (ID Cards)
Posters A4/A3 za matangazo
Vipeperushi
Brochures A4/A3
N.k

Quality ya printing ni nzuri sana na huduma zetu kwa wateja utafurahia.
Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Ndanda/Magila. Contacts 0762182398
 
View attachment 912406

KARIBUNI SANA WATEJA WETU.

Labels za bidhaa (stickers) ---- ** Tsh. 500/=** kwa A4 sticker
Business cards
Vitambulisho (ID Cards)
Posters A4/A3 za matangazo
Vipeperushi
Brochures A4/A3
N.k

Quality ya printing ni nzuri sana na huduma zetu kwa wateja utafurahia.
Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Ndanda/Magila. Contacts 0762182398
Na picha kama hizi ila kwa vioo vya saluni mnafanya kwa bei gani!
 
Na picha kama hizi ila kwa vioo vya saluni mnafanya kwa bei gani!
Tunahitaji kujua kutoka kwako size ya sehemu unayoweka ikoje. Yaani tuje sisi kupima au unaweza kupima wewe ukaja na vipimo ndipo tunafanya hesabu ya gharama na kazi kuendelea.

Karibu sana tukuhudumie.
Huyo ni mmoja wa wateja wetu yupo Kimara.
 
Huduma nzetu ni nzuri na uaminifu ni wa asilimia zote.
 
Nahitaji sticker ya Salon ur 100cm na upana 93cm kiasi gani cha pesa mkuu
 
Nahitaji sticker ya Salon ur 100cm na upana 93cm kiasi gani cha pesa mkuu
Asante kwa kuhitaji huduma zetu mwana JF kama ambavyo tumeshawahudumia wana JF wengine.

Gharama nimekutumia PM na maelezo ya ziada.

Karibu sana.
 
c.jpg


OFA OFA OFA OFA
Wahi sasa mapema.

Label(Sticker) PRINTING kwa A4 Tsh 500/= tu. High quality, good customer service.
karibu sana.
Tunapatikana 0762 182398


NB: Hii picha mteja wetu alitutumia baada ya kubandika label kwenye unga wa Lishe.
 
v2.jpeg


Karibu ujipatie kadi nzuri za Harusi, Send-Off, Kipaimara n.k kwa bei nzuri kabisa.
Huduma zetu kwa wateja utazipenda.
 
OFA OFA OFA

Labels za bidhaa (stickers) ---- ** Tsh. 500/=** kwa A4 sticker
Business cards
Vitambulisho (ID Cards)
Posters A4/A3 za matangazo
Vipeperushi
Brochures A4/A3
N.k

Quality ya printing ni nzuri sana na huduma zetu kwa wateja utafurahia.
Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Ndanda/Magila. Contacts 0762182398
 
KARIBUNI SANA WATEJA WETU.

Labels za bidhaa (stickers) ---- ** Tsh. 500/=** kwa A4 sticker
Business cards
Vitambulisho (ID Cards)
Posters A4/A3 za matangazo
Vipeperushi
Brochures A4/A3
N.k

Quality ya printing ni nzuri sana na huduma zetu kwa wateja utafurahia.
Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Ndanda/Magila. Contacts 0762182398
 
Mkuu nataka vipeperushi 100 na posters utanifanyia shingap? But nataka uniwekee maneno na picha za wanafunz
Karibuni sana Wajasiliamali, kampuni, shule, wasanii etc mjipatie huduma bora kwa bei nzuri
 
Asante kwa kuhitaji huduma zetu mwana JF kama ambavyo tumeshawahudumia wana JF wengine.

Gharama nimekutumia PM na maelezo ya ziada.

Karibu sana.

Unaficha gharama kwa nini mkuu? Weka wazi tujue
 
Boss mimi nilikuwa nnashida na material ya kitamburisho vile vitambulisho kama kadi ya mpiga kura...
 
Mkuu nataka vipeperushi 100 na posters utanifanyia shingap? But nataka uniwekee maneno na picha za wanafunz
Gharama ya printing kwa A4 ni Tsh 500 kwa karatasi za art paper(zile zinazong'aa), posters zinaweza kuwa A4 au mara nyingi A3. Ukija ofisini au ukinipa kazi nitakupa OFA free ya designing maadamu unaprint kwangu, wewe utaniletea picha zenye kiwango kizuri tu na maneno unayotaka yaandikwe. Kuhusu discounts karibu ofisini au wasiliana nasi kwa 0762182398.
 
Unaficha gharama kwa nini mkuu? Weka wazi tujue
Kulingana na alichouliza si rahisi kumpa bei moja kwa moja, inahitaji atoe details kadhaa kuhusu kitu anachotaka na ni wapi anakwenda kukiweka n.k

Ndiyo maana nikamtumia gharama za awali na kumuuliza mambo kadha wa kadha yaliyopelekea kupata gharama halisi.

Karibu sana, bei zetu ni nafuu na quality ya kazi zetu ni nzuri.
 
Boss mimi nilikuwa nnashida na material ya kitamburisho vile vitambulisho kama kadi ya mpiga kura...
Zile material zinauzwa zikiwa vilevile zilizokatwa kama ndiyo hizo unaulizia na zinapatikana kwa Tsh.500/=..

Hata hivyo wengine huchanganya na aina fulani ya sheets za vitambulisho ambazo huuzwa kwa set na huwa katika size ya A4, baada ya kuprint ndiyo unavikata vitambulisho, navyo huwa ni vigumu vilevile.
 
Zile material zinauzwa zikiwa vilevile zilizokatwa kama ndiyo hizo unaulizia na zinapatikana kwa Tsh.500/=..

Hata hivyo wengine huchanganya na aina fulani ya sheets za vitambulisho ambazo huuzwa kwa set na huwa katika size ya A4, baada ya kuprint ndiyo unavikata vitambulisho, navyo huwa ni vigumu vilevile.
Ndugu yangu kama hutojari naomba unieleweshe nilikuwa nataka kujua hivi vitambulisho vya pvc naweza kutengeneza kwa printa hizi za epson+pvc card...? (samahani kwa usumbufu kaka)
 
Back
Top Bottom