Tunatoa copy kwa tshs 25 tu

Tunatoa copy kwa tshs 25 tu

Joined
Apr 16, 2014
Posts
10
Reaction score
2
COPY BEI POA TSHS 25 TU. Kwa mahitaji yako ya kutoa copy kwa wingi swahibastationery ni jibu lako. Kwa tshs 25 tu utatoa copy karatasi moja, na kwa tshs 100 tu utaprint karatasi zako zilizopo kwenye flash disks na device nyinginezo.waweza wasiliana nasi kwa namba 0715811747 & 0787811747
 

Attachments

  • COPY  TSHS 25 TU.jpg
    COPY TSHS 25 TU.jpg
    114.2 KB · Views: 244
  • PRINTING  TSHS 100 TU.jpg
    PRINTING TSHS 100 TU.jpg
    130.9 KB · Views: 218
kazi nzuri ila hatujui ofis yko iko wapi!
 
mkuu kwa hiyo bei ukitoa gharama za umeme na gharama za wino nk utapata faida lini?

au umepiga nyoka umeme?
hizi bei.ziko pia mwanza pale Msua pharmac,nimeshangaa kwa kweli!
 
mkuu kwa hiyo bei ukitoa gharama za umeme na gharama za wino nk utapata faida lini?

au umepiga nyoka umeme?
hizi bei.ziko pia mwanza pale Msua pharmac,nimeshangaa kwa kweli!

Huyu Jamaa ana gharama kubwa sana,
Pale Savei kuprint Tsh 50, Copy 25 na ukiwa na kazi kubwa mazungumzo yapo....
 
Na sisi tuanavyopenda bure tena tutajazana hapo kuprint kazi zetu
 
Iyo ni black n white kwenye printing je ukitaka coloured bei gani apo survey na kwa jamaa
 
mkuu kwa hiyo bei ukitoa gharama za umeme na gharama za wino nk utapata faida lini?

au umepiga nyoka umeme?
hizi bei.ziko pia mwanza pale Msua pharmac,nimeshangaa kwa kweli!
Mkuu umeongea jambo kwakweli wabongo kwenye biaashara ni bure kabisa hawajui wanchokifanya bei ya karatasi kwa bei ya jumla ni sh 12, hujaweka wino, umeme, kodi, kulipa mfanyakazi na wewe upate faida kama siyo wendawazimu ni nini?
 
Hata mimi huwa nashangaa. Kwa mtu anayefanya biashara kihalali hawezi kupata faida kwa kutoa huduma kwa bei hii. Ukichukua tu bei ya rim la karatasi 400 ni wastani wa elfu 900 au chini kidogo. Ina maana karatasi peke yake ni shilingi wastani wa sh. 22. Bado wino, umeme, kodi ya pango, mshahara, kodi t.r.a, na vingine vingi. Wengi wa hawa watu wanatumia malighafi za magendo nadhani. Kuna haja ya jukwaa hili kuwaelimisha watu mbinu za kushindana. Mbinu ya kushusha bei ni mbinu hatari sana ya kukabiliana na ushindani. Hebu fikiria wewe unatoa kwa sh 25. Wateja wanamiminika. Baada ya muda jirani zako nao kwa kuona wanakosa wateja nao wakashusha bei ikafanana na ya kwako au chini zaidi. wale wateja waliokuwa wanamiminika kwako wanapungua wanaenda na kwa wenzio. matokeo yake wote mtapata hasira au kuishia kuchumia tumbo maana mtagawana wateja na mtapata kidogo.
 
Asante.tupo njia panda ya segerea ukonga dar es salaam. Kwa mawasiliano zaidi waweza piga namba 0715811747 and 0787811747
 
Mkuu kazi yeyote ni kujipanga.nina uzoefu wa biashara hii kwa zaidi ya miaka 8.hayo unayoyasema wengi waliyasema na wakaona kuwa ni uongo na kujua kuwa swahiba stationery wamejipanga.karibu uje utujaribu mkuu.
 
Habari mkuu.asante kwa maelezo yako.ninachoweza kukuambia kuliko uwe unashangaa ni bora kuendelea kujifunza.kikubwa ninachoweza kukuambia ni kwamba teknolojia inakua kila siku.ukiendelea kufikilia gharama zako za mwaka 47 hutaweza kufika.kila siku utaona kuwa huyu mtu ni mwizi.busness, always is competing about the price, quality, customer care etc. So ni kiasi cha kujua tu huyu jamaa nguvu yake kaiweka wapi.kila raheli
 
Nakuja leta kazi zangu za typing ila nifanyie kwa specil price nataka nije tena kila inapoitwa leo
Sidhani kama utaniangusha
Swahiba the best ever
Hongereni
 
Back
Top Bottom