Tunatoa copy kwa tshs 25 tu

Tunatoa copy kwa tshs 25 tu

hao wa survey wapo eneo gani hapo survey?nielekeze mkuu nipeleke kazi

Ukitokea maeneo ya mlimani city kuna kakituo ka msaada kanaitwa container next baada ya kituo cha survey ukiingia na hako kabara bara kakuelekea Survey Motel stationary zipo zaidi ya ishirini almost bei zao ni sh 50 kuprint...binafsi nimeprint vitabu venye kurasa si chini ya 250 mara kibao kwa reasonable cost tu...
 
Kwa wale wa Arusha mnaweza kuja kufika kwenye Stationary yangu tunaprint kwa 100 na copy huwa tonatoa kwa 40 ila kama una kazi kubwa tunaweza kuzungumza.
 
Ukitokea maeneo ya mlimani city kuna kakituo ka msaada kanaitwa container next baada ya kituo cha survey ukiingia na hako kabara bara kakuelekea Survey Motel stationary zipo zaidi ya ishirini almost bei zao ni sh 50 kuprint...binafsi nimeprint vitabu venye kurasa si chini ya 250 mara kibao kwa reasonable cost tu...

asante mkuu nitakua napeleka kazi zangu
 
Wenzako Survey wanaprint kwa sh 50 na kutoa duplicate kwa 25/=

Mkuu hzo tabia sizo, jamaa kaweka uzi wake kua anafanya business na bei kaweka den we unakuja kuweka business ya mwngne hivi unategemea nn labda..!! Mbna survey bei yao kubwa sana nao, kuna stationary moja mabibo hostel n bei cheee lakn siwez kuitaja coz sio uzi wake huu..!! Heb tubadiliken wana jf..!! Na inawezkana umefanya kazi isiyo na ujira coz hyo stationary may be sio yako so umemtangazia business bila ya maelwano ya kukulipa.!! Nadhan tumeelewana..!! Heb tuwen magreat thinker. .!!
Peace and love ✌✌✌. Thanks
 
Mkuu hzo tabia sizo, jamaa kaweka uzi wake kua anafanya business na bei kaweka den we unakuja kuweka business ya mwngne hivi unategemea nn labda..!! Mbna survey bei yao kubwa sana nao, kuna stationary moja mabibo hostel n bei cheee lakn siwez kuitaja coz sio uzi wake huu..!! Heb tubadiliken wana jf..!! Na inawezkana umefanya kazi isiyo na ujira coz hyo stationary may be sio yako so umemtangazia business bila ya maelwano ya kukulipa.!! Nadhan tumeelewana..!! Heb tuwen magreat thinker. .!!
Peace and love ✌✌✌. Thanks

Natafuta kijana wa kuoa!
 
Back
Top Bottom