Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
- Thread starter
- #41
Kweli kabisa mkuu, ni kwamba wamezidi kuimarisha upinzani kuliko kuudhoofisha. Wamechukua wrong approach ambayo itazidi kukiangamiza chama badala ya kukijenga.Mkuu, uliona mbali sana. Uliandika uzi huu mwezi February, lkn karibu yote uliyonena ndo yametokea.
Huko ccm kuna watu ambao wanadhaniwa kuwa wanataaluma ya siasa, akina Bashiru Ally, lkn wamefanya mambo ya ajabu sana.
Nadhani watakuwa wanajua kuwa wananchi wengi ni wapinzani mioyoni na ndo sabb wakafanya rafu nyingi kwny uchaguzi, maana walijua fika bila hivyo hawashindi.
Matendo waliyofanya kwny uchaguzi mkuu mwaka huu, sijui Kama wanafahamu yalivyoathiri nafasi yao ktk mioyo ya wananchi walio wengi
Kosa jingine ni kuruhusu chama kimjenge mtu na si taasisi. Akipatikana na dosari mtu huyu maana yake anguko lake ni anguko la taasisi nzima.