Tunatakiwa tuwekeze kwenye soka

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,519
Jana nilishuhudia mchezo baina ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho kupitia luninga ya TBC kusema ukweli kiwango cha Tanzania Stars kilikuwa cha chini sana kulinganisha na timu pinzani. Jana hata timu ya Mbao kwa kiwango kile ingeweza kuifunga Taifa Stars. Nashauri tuwekeze hasa kwenye Soka tusiwe tunapata aibu kama ile ya jana. Kweli timu ya Lesotho itoke sare na Taifa Stars?.
 
Nini hasa kinaisumbua Tanzania?? kwa maana kila kitu wamepewa lakini matokeo si ya kuridhisha
 
Jana nilishuhudia mchezo baina ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho kupitia luninga ya TBC kusema ukweli kiwango cha Tanzania Stars kilikuwa cha chini sana kulinganisha na timu pinzani. Jana hata timu ya Mbao kwa kiwango kile ingeweza kuifunga Taifa Stars. Nashauri tuwekeze hasa kwenye Soka tusiwe tunapata aibu kama ile ya jana. Kweli timu ya Lesotho itoke sare na Taifa Stars?.

Unaweza ukajikuta unakuwa mmoja wa Wendawazimu kama eti ukiamini kabisa kuwa Taifa Stars hii ya TFF hii ya Jamal Malinzi na ya Kocha wa hovyo hovyo / mbovu Salum Mayanga na Kamati zao za uwongo na kweli huku Siasa zikitawala ndani humo ipate mafanikio tunayotaka. Tunampa sana Kazi Mbwana Samatta Popa.
 
TFF ni jipu....na lisipotumbuliwa kale kamsemo ka Mzee Ruksa kakichwa kamwendawazimu kataendelea kututafuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom