Tunataka Ndugai ajiuzulu

Tunataka Ndugai ajiuzulu

Kumekuwa na malumbano makali nchini yanayoendelea kwenye vyombo mbalimbali vya habari, hususani mitandao ya kijamii kuhusiana na issue ya Bunge VS CAG

Walio wengi wakiwa upande wa CAG na watu wachache sana wakimuunga mkono Spika Ndugai na Bunge lake, ambalo wabunge wake wengi ni wa CCM

Nami nimekuwa nafuatilia kwa Katibu malumbano hayo, ambayo kwa mujibu wa Spika Ndugai na Bunge lake walishapitisha azimio la kutofanya naye kazi, Profesa Assad na ofisi yake ya CAG

Madai makubwa ya Bunge la Spika Ndugai kutoa azimio lao dhidi ya Profesa Assad ni madai yao kuwa eti analidharau Bunge lao kwa kuliiita dhaifu

Cha kushangaza hata hivyo ni kuwa taarifa za mkaguzi huyo wa serikali, Profesa Assad tayari zishatinga Bungeni na zimeanza kujadiliwa

Ambacho watu wengi tumekiwa tukijiiuliza, je azimio la kutofanya kazi na CAG limeishia wapi??

Nikumbushe kidogo msingi ya utawala bora kuwa kuna Power separation baima ya mihimili 3 mikuu katika nchi, ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali, katika kufanya kazi katika kitu kinachoitwa check and valance

Kwa ninavoona Mimi huu mgogoro uliopo baina ya Spika Ndugai VS CAG, siyo kweli IPO hivyo, bali ninavyoona Mimi mgogoro huu upo baina ya Serikali VS CAG

Huyu Spika Ndugai anatumbikizwa tu hapo kutokana na "remote control" iliyopo pale Magigoni, ambayo inamuekekeza afanye nini

Kama nilivyosema ni kuwa mgogoro huu ni wa Jiwe VS CAG, kutokana na CAG ambaye ni mwakikishi wa Umma wa wananchi wa nchi hii kufanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu na kuonyesha mapungifu makubwa "audit queries" ya serikali hii, ambayo sasa yanatakiwa yajadiliwe Bungeni

Kwa jinsi ninavyoifahamu serikali hii ya awamu ya 5 inavyofanya kazi, haitaki hata kidogo kukosolewa na kuelezwa kuwa kuna mambo hawayafanyi vyema na ndicho kisa chote cha kuinunua ugomvi wote huu na kuigeuza kuwa ni wa Spika Ndugai VS CAG

Imebidi hali ifikie hivyo kutokana na "process" za kumuondoa CAG, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1077, ibara ya/143, kwenye kitu chake kuwa almost to next to impossible!

Ndiyo maana nikasema ni rahisi mno kumng'oa Spika Ndugai kwenye kiti chake cha Spika, lakini ni vigumu mno mithili ya ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano, kumng'oa CAG kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
 
Rais Magufuli akimlazimisha CAG kujiuzulu
atakuwa ametudhihirishia Watanzania tulio wengi kuwa hata yeye ni mpigaji kama wapigaji wengine.
Nakumbuka Mwalimu Nyerere aliwahi kuulizwa swali juu ya tabia ya viongozi wa Uganda baada ya kuanguka kwa utawala wa Idd Amin, naye alijibu hivi:
"They were all looters looting their own country."
The CAG is really exposing to us as stakeholders, how our country is being looted. There are two kinds of conspirators; civil servants on one hand, and
the Speaker Ndugai and his CCM Parliamentarians on the other side, have conspired against the CAG for absurd reasons known to themselves.
 
Kumekuwa na malumbano makali nchini yanayoendelea kwenye vyombo mbalimbali vya habari, hususani mitandao ya kijamii kuhusiana na issue ya Bunge VS CAG

Walio wengi wakiwa upande wa CAG na watu wachache sana wakimuunga mkono Spika Ndugai na Bunge lake, ambalo wabunge wake wengi ni wa CCM

Nami nimekuwa nafuatilia kwa Katibu malumbano hayo, ambayo kwa mujibu wa Spika Ndugai na Bunge lake walishapitisha azimio la kutofanya naye kazi, Profesa Assad na ofisi yake ya CAG

Madai makubwa ya Bunge la Spika Ndugai kutoa azimio lao dhidi ya Profesa Assad ni madai yao kuwa eti analidharau Bunge lao kwa kuliiita dhaifu

Cha kushangaza hata hivyo ni kuwa taarifa za mkaguzi huyo wa serikali, Profesa Assad tayari zishatinga Bungeni na zimeanza kujadiliwa

Ambacho watu wengi tumekiwa tukijiiuliza, je azimio la kutofanya kazi na CAG limeishia wapi??

Nikumbushe kidogo msingi ya utawala bora kuwa kuna Power separation baima ya mihimili 3 mikuu katika nchi, ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali, katika kufanya kazi katika kitu kinachoitwa check and valance

Kwa ninavoona Mimi huu mgogoro uliopo baina ya Spika Ndugai VS CAG, siyo kweli IPO hivyo, bali ninavyoona Mimi mgogoro huu upo baina ya Serikali VS CAG

Huyu Spika Ndugai anatumbikizwa tu hapo kutokana na "remote control" iliyopo pale Magigoni, ambayo inamuekekeza afanye nini

Kama nilivyosema ni kuwa mgogoro huu ni wa Jiwe VS CAG, kutokana na CAG ambaye ni mwakikishi wa Umma wa wananchi wa nchi hii kufanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu na kuonyesha mapungifu makubwa "audit queries" ya serikali hii, ambayo sasa yanatakiwa yajadiliwe Bungeni

Kwa jinsi ninavyoifahamu serikali hii ya awamu ya 5 inavyofanya kazi, haitaki hata kidogo kukosolewa na kuelezwa kuwa kuna mambo hawayafanyi vyema na ndicho kisa chote cha kuinunua ugomvi wote huu na kuigeuza kuwa ni wa Spika Ndugai VS CAG

Imebidi hali ifikie hivyo kutokana na "process" za kumuondoa CAG, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1077, ibara ya/143, kwenye kitu chake kuwa almost to next to impossible!

Ndiyo maana nikasema ni rahisi mno kumng'oa Spika Ndugai kwenye kiti chake cha Spika, lakini ni vigumu mno mithili ya ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano, kumng'oa CAG kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
Uwingi unaupima kwa research ipi?,ya threads za mitandaoni?,wa kuanzisha threads mfululizo za mlengo wenu?,kituko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai ajitathmini
Ndugai huwa harudi nyuma,na sio mjinga kama watu wanavyofikili.Yeye ameisha fanya yake ya kuibeba serikali karibu mara zote.
Sasa nae anataka favour kutoka serikali ya Magu imsaidie kumuondoa huyo CAG matata.
Serikali inaposita ndio pale Speaker Ndugai anapandisha hadi nje ya Bunge,kuwakumbusha ni zamu ya Magu nae kumsaidia.
Vinginevyo patachimbika.
 
Spika Ndugai kwa sasa anaelekea ana personal vandetta na CAG, prof Assad.

Statement ya kwanza ya Nd Ndugai baada ya kusikia neno dhaifu. ni kuliambia Taifa kuwa CAG ataletwa Dodoma kwa pingu ikibidi!

Statement ya ajabu kutoka mhimili mmoja wa dola.
Ikitokea Mkuu wa Majeshi au Polisi, au Magereza ,akacomment juu ya mapungufu ya Bunge, Spika Ndugai atafanya vivyo?

Mbaya zaidi Ndugai anasema atafanya kazi na ofisi ya CAG na si CAG, as a person!
DOES IT MAKE SENSE?

Sasa jana Ndugai kazidi kujikoroga, ati CAG anampa shida Rais, na inabidi ajiuzulu kazi!

Are we not fed up na hii kitu?
Personal vandetta inaanza kiathiri misimamo ya bunge.

Ndugai amekuwa msemaji wa nia ya Rais?
Tangu lini mhimili wa Bunge ukaingilia ajira ya CAG, aliye muajiriwa katika nafasi nyeti katika mhimili wa serikali!

Au nini kinamzuia Rais kulisema na kulitolea msimamo juu ya suala la udhaifu ambao sasa increasingly unaonekana ni wa Ndugai mwenyewe!

Inapaswa Spika Ndugai aeleweshwe kuwa wananchi wengi wanakubaliana na CAG dhidi ya maamuzi yasiyo na tija kutoka huko Bungeni Dodoma.

Vita ya ufisadi inaelekea inapigwa vita kwa kumtumia Spika Ndugai.
 
Speaker afahaamu lugha za kikaguzi,aeleweshwe labda,haya ni maneno ya kikaguzi,sijaona MTU kujiuzuru kwa kusema ukweli. Yye ndo ajiuzuru kwa kutaka ukweli ufichwe.
 
Spika Ndugai kwa sasa anaelekea ana personal vandetta na CAG, prof Assad.

Statement ya kwanza ya Nd Ndugai baada ya kusikia neno dhaifu. ni kuliambia Taifa kuwa CAG ataletwa Dodoma kwa pingu ikibidi!

Statement ya ajabu kutoka mhimili mmoja wa dola.
Ikitokea Mkuu wa Majeshi au Polisi, au Magereza ,akacomment juu ya mapungufu ya Bunge, Spika Ndugai atafanya vivyo?

Mbaya zaidi Ndugai anasema atafanya kazi na ofisi ya CAG na si CAG, as a person!
DOES IT MAKE SENSE?

Sasa jana Ndugai kazidi kujikoroga, ati CAG anampa shida Rais, na inabidi ajiuzulu kazi!

Are we not fed up na hii kitu?
Personal vandetta inaanza kiathiri misimamo ya bunge.

Ndugai amekuwa msemaji wa nia ya Rais?
Tangu lini mhimili wa Bunge ukaingilia ajira ya CAG, aliye muajiriwa katika nafasi nyeti katika mhimili wa serikali!

Au nini kinamzuia Rais kulisema na kulitolea msimamo juu ya suala la udhaifu ambao sasa increasingly unaonekana ni wa Ndugai mwenyewe!

Inapaswa Spika Ndugai aeleweshwe kuwa wananchi wengi wanakubaliana na CAG dhidi ya maamuzi yasiyo na tija kutoka huko Bungeni Dodoma.

Vita ya ufisadi inaelekea inapigwa vita kwa kumtumia Spika Ndugai.
Ndugai bora angejiuzulu naona kazi immemshinda ajishauri yeye kujiuzulu sio amshauri cag ambae anafanya kazi zake kiiueledi na sisi wananchi tunamkubali.
 
Back
Top Bottom