Tunataka Ndugai ajiuzulu

Tunataka Ndugai ajiuzulu

Habari wanabodi

Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.

Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.

Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?

Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.

Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.
Naunga mkono kwa asilimia 100
 
hata mimi nimeshangaa hivi nduga anathubutu vipi bila aibu kumtaka cag ajiuzulu? kwa lipi? kumba alisuka mpango wa kumkataa ili Assad ajiuzulu? niliona aibu jana kuliko yeye aliyesema. Ndugai hatufai ajiuzulu. kwanza hana mvuto yuko kama anakwashkoor
Ana kifaduro itakuwa.
 
Ndugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.

Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..

Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.

Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.

Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.

CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
Hakuna wa Kupingana na Matakwa ya Jiwe kwa sasa,hajazaliwa bado.
 
Mheshimiwa Ndugai Jiuzulu kwa sababu zifuatazo.

1. Umeshindwa kuliongoza bunge (umeondoa bunge live, ufisadi unafanyika umeshindwa kuiwajibisha serikali)
2. Bunge lako limetunga sheria za hovyo (sheria ya habari na utafutaji wa habari) pamoja na nyingine
3. Mh Ndugai umeshindwa kuwaweka wabunge pamoja pamoja badala yake bunge limegawanyika vipande vipande
4. Bunge lako linaongoza kwa kuvunja kanuni mbali mbali za uendeshaji (ref. Lema kupelekwa kwenye kamati ya maadili kwa kauli aliyotoa bungeni badala ya kuombwa kuthibitisha au kuifuta, lakini pia adhabu uliyotoa haipo kikanuni)
5. Bunge lako limeshindwa kutoa stahiki za wabunge hasa mbunge Lissu - kutotoa matibabu yake
6. Mh Ndugai jiuzulu kwa kushindwa kusimamia matumizi ya fedha za umma. Ununuzi wa Ndege, ujenzi wa airport Chato, Ununuzi wa Korosho, ujenzi wa ukuta mererani, etc
7. kushindwa kumaliza mgogoro huu na CAG nao ni shida maana wangeweza kukaa meza moja kuongea na kuelewana. (ugomvi hutokea pale pande mbili zinaposhindwa kuona pande mbili za shillingi. kila mmoja akingangania kusema huku ni kichwa na mwengine akisema ni mwenge na sio kichwa.) Hivyo solution na pande hizo kukaa na kuoneshana kwamba shilling inapande mbili.
 
Ndugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.

Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..

Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.

Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.

Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.

CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
Ni hivii, unachoki predict kimechana mkeka!!

Kina ****** waliazimia kutokufanya kazi na Prof. Assad na kwa msisitizo ****** alifafanua kuwa bunge halitaipokea ripoti ikisainiwa na Prof. Assad.

Wote tumeona na kutambua kuwa maazimio ya bunge ni maslahi ya bunge na sii wananchi! Azimio limevunjwa na naibu spika wala hatuoni hatua anazochukuliwa na wabunge "walioazimia"

Ndugai na magufuli wanatapatapa kutulazimisha kuwaangalia walivyovua nguo (mashidano ya vibamia)

Mbinu pekee inayofuata ni kumpa kesi ya uhujumu uchumi (nayo itaongeza uelewa wa wananzengo kuwa wanaibiwaaaa)
 
Habari wanabodi

Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.

Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.

Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?

Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.

Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.

Unawekaje shinikizo? tatizo huwa mnaishia kwenye keyboard zenu bhaasi....tulia kama unanyolewa wenye yao wafanye wanavyoona inafaa...huo ndiyo ukweli....LA SIVYO UTACHAKAA
 
Kuna maajabu sana nchi hii.

Wengi tulitarajia jana Ndugai angejiuzulu. Cha ajabu anaenda kueleza kuwa CAG ajiuzulu! Hivi yeye anajiona anafaa sana kwenye hiyo nafasi? Upuuzi wa hali ya juu sana.
 
Ndugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.

Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..

Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.

Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.

Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.

CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
Wazalendo gani hao? Kwa mzalendo wa ukweli hawezi kumuondoa CAG na hao wanaopanga kumuondoa CAG watakuwa ni mashetani mafisadi wakubwa wanakwepa kuumbuliwa ufisadi wao
 
Habari wanabodi

Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.

Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.

Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?

Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.

Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.
Swali fikirishi nini kifanyike km viongozi dhaifu huongoza taasisi imara
 
Kuna maajabu sana nchi hii.

Wengi tulitarajia jana Ndugai angejiuzulu. Cha ajabu anaenda kueleza kuwa CAG ajiuzulu! Hivi yeye anajiona anafaa sana kwenye hiyo nafasi? Upuuzi wa hali ya juu sana.
Ndungai vs Assad kwa kweli Assad ni bora mara 100 ya ndungai, wananchi wote wa Tanzania nzima wapo nyuma ya profesa Assad hawataki kumuona wala kumsikia ndungai
 
Back
Top Bottom