Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,574
- 272,320
Hii serikali imeshikwa pabaya sana !
Iwekwe tena ya huyu bwana spika atoke atuachie bunge letuNaunga mkono hoja. Kuna kipindi iliwezekana kuweka Poll hapa JF, hivi bado ipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Spika ni zezeta.Naunga mkono hoja
sio kosa lake ni kosa ugonjwa wake uliomlaza 5starhotel badala ya kulazwa hospitaliYule Spika ni zezeta.
Naunga mkono kwa asilimia 100Habari wanabodi
Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.
Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.
Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?
Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.
Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.
Ana kifaduro itakuwa.hata mimi nimeshangaa hivi nduga anathubutu vipi bila aibu kumtaka cag ajiuzulu? kwa lipi? kumba alisuka mpango wa kumkataa ili Assad ajiuzulu? niliona aibu jana kuliko yeye aliyesema. Ndugai hatufai ajiuzulu. kwanza hana mvuto yuko kama anakwashkoor
Hakuna wa Kupingana na Matakwa ya Jiwe kwa sasa,hajazaliwa bado.Ndugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.
Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..
Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.
Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.
Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.
CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
msituletee tu msiba wa kitaifaTulieni, taratibu, tuna plan kitu kitachacho trend ili kufifisha issue ya CAG... coming soon...
Cc: mahondaw
Ni hivii, unachoki predict kimechana mkeka!!Ndugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.
Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..
Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.
Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.
Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.
CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
Habari wanabodi
Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.
Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.
Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?
Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.
Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.
Kwani naye atatoa press?Subiri press ya CAG hili sakata linanikumbusha sakata la Director Commey vs Trump
Wazalendo gani hao? Kwa mzalendo wa ukweli hawezi kumuondoa CAG na hao wanaopanga kumuondoa CAG watakuwa ni mashetani mafisadi wakubwa wanakwepa kuumbuliwa ufisadi waoNdugu zangu hasa kaka zangu ambao mmekuwa mkishiriki mijadala mbalimbali hapa JF, napenda kuwahakikishia kwa mara nyingine tena kuwa CAG ameshasukiwa mbinu ya kumwondoa madarakani.
Mara nyingi nimekuwa nikitoa taarifa au kuandika baadhi ya post na hakika mambo yamekuwa yakitokea kama nilivyo predict..
Wapo wataalamu wa kubeza posts za watu wengine bila kufanya utafiti, nakumbuka niliwahi ku post kuwa nimepokea taarifa kutaka Tanzania kuwa Lissu kashambuliwa kwa risasi, mtu wa kwanza ku comment aliishia kunitukana, kuwa mimi ni muongo na chizi.
Tarehe 8/01/2019 nili post thread kibarua cha CAG kuota nyasi, naamini ndicho kinachoenda kutokea.
Upo mpango wa kuhakikisha CAG anaondolewa ofisini na mkakati huo unaongozwa na Speaker, na unazo baraka zote kutoka juu, amini usiamini hata kama ingakuwaje mwaka huu hauwezi kwisha CAG akiwa ofisini.
Mbaya zaidi wakubwa wanahisi kuwa CAG anatumika na wapinzani kuikomoa serikali ya ccm na kuvujisha siri kwa wapinzani kwa malengo ya kuichonganisha serikali kwa wananchi ambao waliokwisha kuamini kuwa hii ndio serikali pekee yenye nia ya kukomesha rushwa nchini.
CAG lazima aondolewe madarakani, hiyo ndio kaulimbiu iliyopo mioyoni mwa wazalendo namba moja
Swali fikirishi nini kifanyike km viongozi dhaifu huongoza taasisi imaraHabari wanabodi
Kila mtu anafahamu hali ya kisiasa iliyopo nchini kwa sasa. Kumekuwa na kauli za shutuma nyingi na vitisho kwa Spika wa Bunge la JMT dhidi ya mkaguzi n mdhibiti wa hesabu za serikali.
Ndugai anaongea hadharani kwamba alitarajia Prof Assad ajiuzulu baada ya vitisho vyake vya kumkamata na pingu. Watanzania wote hatuoni kosa la Prof Assad, ni kweli bunge ni dhaifu na Ndugai mwenyewe dhaifu na kama sio dhaifu basi ni kibaraka wa jiwe.
Kuna kauli yake moja Ndugai anasema Prof Assad anampa "wakati mgumu" mheshimiwa Rais....swali, CAG anampaje wakati mgumu Rais?
Rais anashindwa kufanya kazi zake? Au akiibua madudu wanavulika nguo wateule wake na hivyo naye anatapa aibu? Maana zile samosa na chapati za bil 1 si mchezo. Na mkulu kakaa kimya as if hakijatokea kitu. Si anasemaga mtu umemkamata red handed uchunguzi wa nini? Weka ndani. Mbona jamaa wamekula samosa za bil 1 na mnawaacha tu?
Ushauri wangu tuweke shinikizo Ndugai ajiuzulu. Na hili likifanikiwa itampa picha halisi jiwe kuwa hata yeye mwenyewe sisi "wenye nchi" tukiamua aondoke pale nyumba nyeupe ataondoka. Na wale wanaotumika kulinda maslahi yake. Policcm, tawi jipya la ccm jw na tisi. Maana hawa wameacha uzalendo walioapa wa kuilinda katiba sasa hivi wana agenda moja ya kulinda chama.
Nina hasira sana na upumbavu wa chama chao.
Ndungai vs Assad kwa kweli Assad ni bora mara 100 ya ndungai, wananchi wote wa Tanzania nzima wapo nyuma ya profesa Assad hawataki kumuona wala kumsikia ndungaiKuna maajabu sana nchi hii.
Wengi tulitarajia jana Ndugai angejiuzulu. Cha ajabu anaenda kueleza kuwa CAG ajiuzulu! Hivi yeye anajiona anafaa sana kwenye hiyo nafasi? Upuuzi wa hali ya juu sana.
ndungai ni shetani asomewe albadiri kali arejeshwe india akafie huko mbele hicho ndicho kiini cha kumaliza kero za ndungai kwa sasaSwali fikirishi nini kifanyike km viongozi dhaifu huongoza taasisi imara
naona muke mwenzio amekulaiki 😛Subiri press ya CAG hili sakata linanikumbusha sakata la Director Commey vs Trump