Acheni kuwachukulia wateja 3,000/= ati ya form. Form moja mmeitoa photocopy kibao kisha,watu mna wa charge tshs. 3,000/ awe amepata kazi au kashindwa kutoa hela ya udalali, ni dhambi kwanini msimhoji mtu na kumpa maelezo kwamba kuna makampuni wanatafuta watu na mnapotaja 80,000 kama mtu hana basi asiwe amepoteza na hela yake ya form- jirekebisheni tabia hii mbaya mnachuma 3,000 kwa watu wasiokuwa na ajira jamani hali mbaya...kuweni na huruma....
Sio kweli ,nakuomba ufikiri zaidi kusema uongo hapa hakusaidii kitu zaidi ya kuonyesha ujinga na uwezo finyu wa kufikiri
Tafadhali kama una kazi waache wanaosaka wasake ajira kwa amani usiwachanganye watu kwa ongo zako zisizo na maana
Hahahaaa sio hivyo man,unajua mijitu mingine inatia hasira sana,sasa kukalia CV yako home na kuituma hapa ipi bora hata kama utakosa kazi si ni bora ujaribu,mimi nawashangaa wanaowakatisha watu tamaa ilhali utakuta yenyewe ndio yalitumaga zamani,kama kuna jamaa nimeliinterview leo likawa halina eye contact,linaona aibu flan hivi nahisi ni moja kati ya mijitu inayoniponda hapa ila liko fit nafikiri nitalipeleka mahali na sitamwambia mwajiri kama jamaa ni mnafki mwache ubaya wake ukamuumbue mwenyewe huko,acheni kuponda bana tuma CV upate kazi.Duh jamaa naona anatilisha uchungu manake mnamchana weee yeye anauchuna tu akiibuka tu anatoa 5 principles on how to get the job! 1. We tuma CV2. We tuma CV3. We tuma CV tu4. Nimesema we tuma CV5. Si nimesema we tuna CV then utaona matokeo yake!Hahahaha jamaaa huyu ni mbayaaaa
Na wewe umeandika nini sasa hongera kwa kutuonyesha Uchi wa akili yako,yako maneno ningekuambia lakini kwa kuwa uu mjinga endelea na ujinga wako
Typing error ni kwaida. ebu weka cv yako tapeli wewe tuijue.
Mbona hamjielez vzur kua nyie kina nani, mko wapi na mnashughulika na nini?
Ama kweli uaminifu umeisha yaan mtu hamjamjua mshasema mwongo mbna JF washatwambia taratibu za kufuata ili kujua matapeli na sio kuvunjiana heshma bure...ni hayo tu..
Mim nahtaj hata ya clener tu my number 0717002938
Hahahaaa sio hivyo man,unajua mijitu mingine inatia hasira sana,sasa kukalia CV yako home na kuituma hapa ipi bora hata kama utakosa kazi si ni bora ujaribu,mimi nawashangaa wanaowakatisha watu tamaa ilhali utakuta yenyewe ndio yalitumaga zamani,kama kuna jamaa nimeliinterview leo likawa halina eye contact,linaona aibu flan hivi nahisi ni moja kati ya mijitu inayoniponda hapa ila liko fit nafikiri nitalipeleka mahali na sitamwambia mwajiri kama jamaa ni mnafki mwache ubaya wake ukamuumbue mwenyewe huko,acheni kuponda bana tuma CV upate kazi.
Mijitu ina wivu tuu kamanda komaa hiyo ni fursa wasaidie watu na weew ujipatie kipato kwa WAAJIRI tafadhali zingatia USICHUKUE FEDHA ZA WANAOTAFUTA KAZI ni dhambi
Jitahidi utume CV yako mambo ya kiwango cha elimu na uwezo wa kufanya kazi tutajua ukija kwenye usaili