Tunatafuta waandishi wa habari

Tunatafuta waandishi wa habari

chears

Member
Joined
Jun 10, 2014
Posts
21
Reaction score
1
Tunatafuta waandishi wa habari wenye uwezo wa kutafuta na kuleta stori kwa ajili ya gazeti na website yetu

Sifa

Awe ana diploma au digrii ya uandishi wa habari

Awe ana speed ya kutype kwa kutumia microsoft word

Awe anajua kingereza na kiswahili

Bali pia awe ana confidence ya kutosha na kazi yake

Awe mbunifu wa kuleta idea mpya ili tuweze kuuza zaidi gazeti

Kwa wale wenye uzoefu kutoka kampuni nyingine wataongezewa commision. Mshara mnono kwa yule ambaye atafanya kazi yake vizuri bali pia nauli bonus na commision wahi sasa.

Piga simu 0717178455/0684591101 uliza Mr charles
 
Gaazeti lipi?

Nina sifa zote ila sina sifa yakuandika habari za udaku tu.
 
magazeti ya 2015 hayo hongera Chears walau utaambulia hela za ESCROW kupitia kuwanadi walio zichota na kuwamaliza usioapenda
 
deo corleon tuchekiane kwa namba yangu 0717178455/0684591101
 
Back
Top Bottom