TUNATAFUTA: Videographer / Content Creator

TUNATAFUTA: Videographer / Content Creator

innongailojr

New Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
1
Reaction score
0

TUNATAFUTA: Videographer / Content Creator

Location: Mwenge,Dar es salaam

Aina ya Kazi: Part-time (Kuwa Flexible ila deliver Kazi)

Tunatafuta mtu mwenye uwezo wa kupiga, ku-edit, na kutengeneza video za kwa ajili ya Instagram & TikTok. Lazima uwe mbunifu, uelewe vibe ya content ya sasa, na uwe tayari kufanya kazi kwa wakati.

Majukumu Yako:

  • Kurecord na kuhariri video zenye ubora kwa mitandao ya kijamii
  • Kupanga ratiba ya maudhui (content calendar) kila wiki
  • Kutengeneza na kuchapisha maudhui kwenye Instagram & TikTok
  • Kuleta ideas mpya na kuendana na trending content
  • Kufuata performance ya video (engagement, views, etc.)

Tunatafuta mtu mwenye:

  • Uzoefu na tools kama Adobe Premiere, CapCut, au Davinci Resolve
  • Ubunifu wa hali ya juu na macho ya kuona content nzuri
  • Uwezo wa kufanya kazi mwenyewe na pia kwenye team
  • Ufahamu wa trends na algorithm za mitandao ya kijamii

Mshahara: Tsh 400,000 + bonus (kutegemea kazi yako)
🕒 Probation: 2 weeks
📩 Tuma CV na kazi ulizowahi kufanya (portfolio) si lazima uwe na degree, tunataka kazi iongee
:Whatsapp 0628239941
 
Back
Top Bottom