Nimekuwa nikisikia lowasa kafanya mambo makubwa ila hayatajwi, naomba basi mwenye kuyajua atutajia
1.utasikia shule za kata-
2.alivunja mkataba wa city water
3.Njia tatu
haya ni juzi akiwa waziri mkuu na impact zake tunaziona hasa mpango wa kukurupuka shule za kata
ikumbukwa amekuwa kiongozi wa serikali tangu miaka ya sabini na 1989 alikuwa mkurugenzi aicc!
tujulisheni kafanya nini????
1
2
3
4
5
6
7
8
9
1.utasikia shule za kata-
2.alivunja mkataba wa city water
3.Njia tatu
haya ni juzi akiwa waziri mkuu na impact zake tunaziona hasa mpango wa kukurupuka shule za kata
ikumbukwa amekuwa kiongozi wa serikali tangu miaka ya sabini na 1989 alikuwa mkurugenzi aicc!
tujulisheni kafanya nini????
1
2
3
4
5
6
7
8
9