Una uhakika ni jk?kwa moyo wa huruma nampongeza rais kuwaweka huru hawa jamaa (jk sijui kajisikiaje hahaaaaaaaa we saliiiiima)
japokuwa ametumia mabavu na kusigina nguvu ya mahakama, katumia vibaya ofiis yake
kwa kawaida ya tanzania hakuna atakaemuuliza wala kuleta vyokofyoko. yamepita wacha maisha yaendeleeeeeee
Uko sahihi kabisa mkuu. Hapo hata kama aliwakusudia hao angesema wafungwa wote wa kulawiti waliotumikia vifungo vyao labda kwa miaka 15 na kuendelea hivyo angekuwa anazungumzia kundi badala ya watu wawili. Je wale waliofungwa wakati mmoja na Nguza wanajisikiaje kuona wenzao wanatoka nao wao kubaki wakati kosa ni moja na miaka waliyokaa gerezani ni sawa??Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza
Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?
Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.
Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Hapa hoja si kesi kuwa feki au lah...hapa hoja ni msamaha wa Rais..Rais anayo mamlaka ya kumsamehe mtu yeyote yule hata kama alikutwa na hatia mahakamani na bila masharti yeyote au kwa masharti.....Hapa umenigisa raisi inawezekana kafanya uchunguzi wa kutosha kagundua ni kesi feki maana waliohukumu kesi wapo na waliokuwa wanapeleleza kesi wapo
Baba seya mgogoro wake unaanzia huko kwao Congo, wala hakuna uhusiano na suala la ubakajiUko sahihi kabisa mkuu. Hapo hata kama aliwakusudia hao angesema wafungwa wote wa kulawiti waliotumikia vifungo vyao labda kwa miaka 15 na kuendelea hivyo angekuwa anazungumzia kundi badala ya watu wawili. Je wale waliofungwa wakati mmoja na Nguza wanajisikiaje kuona wenzao wanatoka nao wao kubaki wakati kosa ni moja na miaka waliyokaa gerezani ni sawa??
Daaah huku mtaani kwetu ni nderemo na vifijo sidhani kama watu watakuelewa kwa hili.
Ngoja kwanza watoke.
You're better than this, Rais ametowa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 8000, wafungwa maarufu ni Babu Seya na mwanaye na yule aliyehukumiwa kunyongwa anaitwa Matonya.Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza
Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?
Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.
Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Simple answer to complex issue!sijui siku gani mta pumzika kwa kukosoa kila dakika,kuna mambo mengine we si mungu wakujua watu vizuri,shugulikia familia yako.au pambana na hali yako
Wanavyo jisikia wajisikie lakini Rais anayo mamlaka ya kumsamehe mtu yeyote yule bila kuzingatia kundi au mtu mmoja.... kwenye kutoa msamaha kwa Rais hakuna masharti yeyote ya jinsi ya kutoa msamaha.... hata kama alikutwa na hatia mahakamani Rais anayo mamlaka ya kumsamehe...Uko sahihi kabisa mkuu. Hapo hata kama aliwakusudia hao angesema wafungwa wote wa kulawiti waliotumikia vifungo vyao labda kwa miaka 15 na kuendelea hivyo angekuwa anazungumzia kundi badala ya watu wawili. Je wale waliofungwa wakati mmoja na Nguza wanajisikiaje kuona wenzao wanatoka nao wao kubaki wakati kosa ni moja na miaka waliyokaa gerezani ni sawa??
Hapa hata wewe nitashindwa kukutofautisha akili na hao unaodhani wanawakilisha Bavicha.Bavicha bana ....
hapa watu wamesahau hawawezi kumbuka tenaLowassa; Nitamtoa Babuseya Gerezani Endapo Nitashinda Uraisi.
ccm; Haiwezekani Acha Kudanganya Umma. 2015
JPM; Nimewasamehe Papi Kocha na Babu Seya.
ccm; Magufuli Oyeeeee. (2017)
Ww ndio chiz uko uliko unaenda kama msukule ww twende2 shenzi zakoMajitu mengine bwana mapumbavu kweli sasa rais katoa msamaha unaleta mijadala ya nini magufuli ubarikiwe kwa moyo wako wa huruma ccm oyeeeeeeeeeree
Mkuu elewa kuwa kwenye wafungwa wote aliotoa msamaha rais katoa kwa makundi maalum (wengi wao) Tatizo pale kwa Babu Seya na Papii katoa kwa wao pekee kwenye hilo kundi lao! Usipayuke bila kufanya utafiti na mpaka naandika humu nimejiridhisha vya kutosha.Nguza na Papii wamesamehewa wao kama wao na ndipo mimi ninapohoji. Kama angewaweka kwenye kundi fulani nisingehoji. Acha kujifanya unajua!You're better than this, Rais ametowa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 8000, wafungwa maarufu ni Babu Seya na mwanaye na yule aliyehukumiwa kunyongwa anaitwa Matonya.
Nadhani ni vyema ukahoji ni kwa nini wengine wakifa wanaitwa marehemu na wengine wanaitwa hayati.
Hoja za kitoto hizi. Mkitaka kumbananisha Magufuli siyo kwa hoja dhaifu kama hizi. Too low.
tomboka mukulu.Toeni chuki zenu hapa, Seya out! Magufuli oyeeeeee!
Amekariri huyoHapa hata wewe nitashindwa kukutofautisha akili na hao unaodhani wanawakilisha Bavicha.
Huu ni upuuzi sawa na wapuuzi wengine, hii ni statement ya Bavicha?