Tunapotoa misamaha huwa hatutoi kwa fulani na fulani, linaangaliwa kundi!

Mkuu elewa kuwa kwenye wafungwa wote aliotoa msamaha rais katoa kwa makundi maalum (wengi wao) Tatizo pale kwa Babu Seya na Papii katoa kwa wao pekee kwenye hilo kundi lao! Usipayuke bila kufanya utafiti na mpaka naandika humu nimejiridhisha vya kutosha.Nguza na Papii wamesamehewa wao kama wao na ndipo mimi ninapohoji. Kama angewaweka kwenye kundi fulani nisingehoji. Acha kujifanya unajua!
G Sam, wewe ndio unapayuka na huenda wewe ndio hujui lolote.

Numero uno, wewe huwezi kumpangia Rais do and don'ts, ni katiba ndio inampangia.

Aliyoyafanya leo yote ni kwa mujibu wa katiba na orodha ya wanufaika ameikabidhi kwa Waziri mkuu kwamba asimamie hili zoezi asipenyezwe hasiyehusika wala asikatwe jina mnufaika yeyote yule.

Kuwataja kwa majina Babu Seya na Papii Kocha hao ni wafungwa wenye public interest that's it hakutaka muwaone uraiani mkaanza hadithi kibao, yeye ameweka wazi mwenyewe, lakini alikuwa na uwezo wa kuwaweka kwenye list ya msamaha bila kuwatangaza., ila kitendo cha kuwatangaza amekata mzizi wa fitina ili kesho ukiwaona Sinza wanakunywa mtori pale La Chalz msije hapa JF kuanzisha thread ambazo hazina kichwa wala miguu.
 
G Sam, wewe ndio unapayuka na huenda wewe ndio hujui lolote.

Numero uno, wewe huwezi kumpangia Rais do and don'ts, ni katiba ndio inampangia.

Aliyoyafanya leo yote ni kwa mujibu wa katiba na orodha ya wanufaika ameikabidhi kwa Waziri mkuu kwamba asimamie hili zoezi asipenyezwe hasiyehusika wala asikatwe jina mnufaika yeyote yule.

Kuwataja kwa majina Babu Seya na Papii Kocha hao ni wafungwa wenye public interest that's it hakutaka muwaone uraiani mkaanza hadithi kibao, yeye ameweka wazi mwenyewe, lakini alikuwa na uwezo wa kuwaweka kwenye list ya msamaha bila kuwatangaza., ila kitendo cha kuwatangaza amekata mzizi wa fitina ili kesho ukiwaona Sinza wanakunywa mtori pale La Chalz msije hapa JF kuanzisha thread ambazo hazina kichwa wala miguu.
Ok, nieleze Babu Seya na Papii Kocha wanaingia kundi gani la wanufaika wa msamaha?
 
Hujamuelewa rais,amelazimika kuwataja hao tu ili ku respond ombi lao,japo ulikua ni msamaha wa wote,wasingemuomb msamah huenda asingewataja
 
Ok, nieleze Babu Seya na Papii Kocha wanaingia kundi gani la wanufaika wa msamaha?
Kundi la msamaha wa Rais.

Orodha ya wanufaika wote 8000 plus anayo waziri mkuu.

Je wewe hapa ni Kassim Majaliwa? Kama wewe ni Kassim Majaliwa nitanyamaza kimya maana orodha ipo mikononi mwako.
 
Lowassa; Nitamtoa Babuseya Gerezani Endapo Nitashinda Uraisi.

ccm; Haiwezekani Acha Kudanganya Umma. 2015

JPM; Nimewasamehe Papi Kocha na Babu Seya.

ccm; Magufuli Oyeeeee. (2017)
Mkuu hizi ndio siasa, usimalize maneno ya akiba, wala usimuwekee dhamana ya kauli au maamuzi mwanasiasa.
 
sijui siku gani mta pumzika kwa kukosoa kila dakika,kuna mambo mengine we si mungu wakujua watu vizuri,shugulikia familia yako.au pambana na hali yako
Jikite kwenye hoja badala ya bla bla , ameweka anachoamini na wewe njoo na hoja .
 
Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza

Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?

Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.

Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Kuna mzee Matonya pia kamtaja kwa jina,nyie BAVICHA vipi mbona kila kitu kulalamika tu?
 
Kundi la msamaha wa Rais.

Orodha ya wanufaika wote 8000 plus anayo waziri mkuu.

Je wewe hapa ni Kassim Majaliwa? Kama wewe ni Kassim Majaliwa nitanyamaza kimya maana orodha ipo mikononi mwako.
Mimi ni Kassim ndo maana nakubishia. Wale hawana kundi lolote and shut up!
 
hata mm najiuliza tu hivi waliolawitiwa (kama wapo) wanajisikiaje.....na pia ss hv wameshakuwa watu wazima (kama wapo)..wana uwezo wa kurevenge (babu seya ajiandae na vita mpya).....anyway maamuz ya mkuu hayapingwi
Lowasa labda atatuambia
 
Kuna mzee Matonya pia kamtaja kwa jina,nyie BAVICHA vipi mbona kila kitu kulalamika tu?
Matonya amewekwa kwenye kundi la watu wenye miaka 85 na zaidi! Shut up!
 
Leo sikuungi mkono brother, nakumbuka rais alinukuu kifungu kinachomruhusu katika katiba kabla ya kusamehe.
Binafsi kanifurahisha ktk hili...
 
Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza

Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?

Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.

Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Alichofanya political capitalization in kuidhalilisha mahakama,ingawa kutolewa kwao nimefurahi.
Na pia kaonyesha hisia kuna ukweli jk alimfunga babu Seya hivyo anamuonyesha jk kuwa ni MTU wa visas I ila hajui huku nje tunavyomuona yeye
 
Nilisikia kama anasoma kipengele kwenye katiba kwamba "rais anaweza kutoa msamaha kwa mtu yeyote kwa kosa lolote". Lkn ngoja magwiji wa sheria waje.
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Sura ya pili, sehemu ya kwanza ibara ya 45, ibara ndogo ya kwanza.



Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii, Rais anaweza hutenda lolote kati ya mambo yafuatayo



(a) kutoa msamaha kwa wa mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya mahakama kwa kosa Iolote, na aweza hutoa msamaha huo ama bila ya masharti au hwa masharti, kwa mujibu wa sheria;



(b) kumwachilia habisa au kwa muda maalum mtu yeyote aliyehukumiwa kuadhibiwa kwa ajili ya kosa Iolote iIi mtu huyo asitimize habisa adhabu hiyo au asitimize adhabu hiyo wakati wa muda huo maalum;



(c) kuibadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa Iolote iwe adhabu tahafifu,‘



(d) kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote jwa ajili ya kosa Iolote au kufuta adhabu yote au sehemu ya adhabu ya kutoza, au kuhozi (au huchukua) kitu cha mtu mwenye hatia ambacho vinginevyo kingechukuliwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano.
 
Alichofanya political capitalization in kuidhalilisha mahakama,ingawa kutolewa kwao nimefurahi.
Na pia kaonyesha hisia kuna ukweli jk alimfunga babu Seya hivyo anamuonyesha jk kuwa ni MTU wa visas I ila hajui huku nje tunavyomuona yeye
Jk angekuwa na visasi kagame Na nchi yake ingeshafutika katika uso wa dunia
 
Alichofanya political capitalization in kuidhalilisha mahakama,ingawa kutolewa kwao nimefurahi.
Na pia kaonyesha hisia kuna ukweli jk alimfunga babu Seya hivyo anamuonyesha jk kuwa ni MTU wa visas I ila hajui huku nje tunavyomuona yeye
Jk angekuwa na visasi kagame Na nchi yake ingeshafutika katika uso wa dunia
 
Mimi ni Kassim ndo maana nakubishia. Wale hawana kundi lolote and shut up!
Aisee wewe jamaa Ubongo wako umepata mtikisiko flani hivi maana huelewi au hutaki kuelewa kitu ambacho kiko wazi kabisa.Raisi anamamlaka ya kumsamehe mtu yoyote aliyefanya kosa lolote.sasa wewe unalazimisha awasamaehe watu kwa kategory huoni kama unamushkeli hivi kichwani?
 
Back
Top Bottom