Tunaposema kiwanda/viwanda nini tafsiri yake ?

rich gang

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
1,552
908
Habari wadau..

kama kichwa cha habari kilivyo,ni vema wanajamii kujuzana maana au tafsiri sahihi ya neno kiwanda,kwasababu tukinukuu kauli ya mh waziri pia juzi mh raisi wanasema hata ukiwa na cherehani na ukaajiri mtu hicho kitafahamika kama ni kiwanda...nakuwa napata shida sana kumbukizi yangu niliyofundishwa school na maana za hawa waheshimiwa wetu....je ipi maana sahihi ya kiwanda ili hata siku nyingine na wadau wengine tusistaajabu tukisikia maana kama hizi za waheshimiwa wetu?
 
Back
Top Bottom