Nsimbinso
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 407
- 431
Tushasahau kabisa kama kuna hili dubwasha huku UswahiliniKabisa yan, tumeshindwa kuchukulia uhalisia wa mitaani kwetu, wanataka kutuamshia hofu mpya
Tushasahau kabisa kama kuna hili dubwasha huku UswahiliniKabisa yan, tumeshindwa kuchukulia uhalisia wa mitaani kwetu, wanataka kutuamshia hofu mpya
......ya MAANDAMANO!!!Chadema ndio Future
View attachment 1788999
Jiwe imefyekaMaza anataka kuanza kucheza mziki ambao hajui mapigo yanaendaje...
Kuna watu wanakuza issue ya corona mpaka ukiwasikiliza unaweza ogopa kutoka ndani kwako.
Naiona CHADEMA ikitwaa Madaraka hapa Tanzania iwapo kutakuwa na Uwanja huru wa kisiasa.......ya MAANDAMANO!!!
Dhahiri shahiri !Jiwe imefyeka
Kijazi imefyeka
Maalim Seif imefyeka
Mahiga Imefyeka
Hao natumai hata wewe unawafahamu
Jiwe imefyeka
Kijazi imefyeka
Maalim Seif imefyeka
Mahiga Imefyeka
Hao natumai hata wewe unawafah
Tupe official proof ya kilichowaua ... Achilia mbali Maalim ambao tuliambiwa ni corona... Kinyume na hapo ni muendelezo tu wa kujazana hofu...Jiwe imefyeka
Kijazi imefyeka
Maalim Seif imefyeka
Mahiga Imefyeka
Hao natumai hata wewe unawafahamu
Naiona CHADEMA ikitwaa Madaraka hapa Tanzania iwapo kutakuwa na Uwanja huru wa kisiasa.
una roho ngumu sana !Tupe official proof ya kilichowaua ... Achilia mbali Maalim ambao tuliambiwa ni corona... Kinyume na hapo ni muendelezo tu wa kujazana hofu...
🤣🤣🤣Naiona CHADEMA ikitwaa Madaraka hapa Tanzania iwapo kutakuwa na Uwanja huru wa kisiasa.
Ambayo haiwezi jazwa hofu kwa story ambazo ni 'feelings based'... Nitalainika nitapoona au kuwa convinced kwa facts and proofs na si hisia na ushabiki.una roho ngumu sana !
Hiyo ndio Tume mwenyekiti wake kavaa barakoa kata ''K''
Pumbavu zakoUkusikiliza sana wanasiasa unaweza ogopa sana kuhusu hili gonjwa, laikin ukiludi mtaani kwako/katika jamii unayoishi yanayoongelewa n tofauti na uhalisia, naona tunaamuwa kwenda na trending ya WHO ila hakuna uhalisia huo.
CORONA ipo ila n kama magonjwa mengine, coz toka itangazwe kuingia nchini cjawai vaa barakoa, nashinda kwenye mikusanyiko na bado afya yangu na watu tunaonana mala zote wote tupo salama.
Naamini katika upinzani ila tusiwafanye kama ndio miungu watu kwamba kila wanaloongea ni sahihi, mapambano dhidi ya covid na Magu yaliendeshwa vizuri
Naomba official Proof kuwa umejazwa hofuTupe official proof ya kilichowaua ... Achilia mbali Maalim ambao tuliambiwa ni corona... Kinyume na hapo ni muendelezo tu wa kujazana hofu...
Ndio no za kwangu, au nikugawiePumbavu zako