Tunapokea Ripoti ya CAG 2020/21, ila wapi utekelezaji wa Ripoti ya 2019/20?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,833
71,300
Sasa imekuwa kama mchezo wa mazoea, yaani kabla ya 30th March CAG kwenda kumsomea Rais ripoti yake ya ukaguzi kisha kuikabidhi Bungeni na mchezo unaishia hapo.

Mwaka unaofuata hakuna taarifa ya utekelezaji wa ripoti ya nyuma bali watu wanakaa kusikiliza ripoti nyingine.

Ripoti iliyopita ilijaa madudu mpaka yale ya wazi kabisa ya mfano tamasha la urithi lakini ni kama zilipendwa kwa sasa.

Je, hii inatokana na udhaifu wa bunge letu hasa kamati ya PAC ambayo kwa mfumo wa mabunge ya jumuia ya madola lazima iongozwe na upinzani?

Inaonekana Mwendazake aliua upinzani na hasa bungeni ili kamati hii iwe dhaifu isiwajibishe serikali yake kwenye upotevu na uzembe utakao ibuliwa na CAG.

Ni aibu kubwa kwa taifa mtu wa aina hiyo kumtaja kama mzalendo na eti aliipenda nchi yake. Ujinga mtupu, anastahili kuitwa mwizi na haini.

Leo ni 2022 na kusubiri nchi iendelee kupoteza dira hadi 2025 eti kisa uchaguzi wakati tunajua 2020 haukufanyika uchaguzi huo nao ni ujinga pro max, taifa linalojitambua linachukua hatua positive pale linapogundua linapoteza hadhi yake kisa kusubiri baadae.

Ripoti za CAG bila kufanyiwa kazi kila zitokapo ni ubadhilifu mkubwa.
 
Hakuna wa Kuzitekeleza UTAWAFUNGA WAKURUGENZI wakiiba Fedha wakati wao ndio wanaosimamia Uchaguzi na kuiba kura za Wapinzani ?
 
Hakuna wa Kuzitekeleza UTAWAFUNGA WAKURUGENZI wakiiba Fedha wakati wao ndio wanaosimamia Uchaguzi na kuiba kura za Wapinzani ?
Lakini mbona wapo walio hujumu fedha nyingi Bandarini, BOT, Maliasili na kadhalika kulingana na ripoti ya CAG na wala sio wasimamizi wa kuiba kura?
Sasa kuna faida gani ya uwepo wa CAG na maripoti yake wakati hakuna ufuayiliaji na utekelezaji?
Au CAG ni Toothless bulldog?
 
Halafu utakuta janaume na urijal8 wake anasema hadharani "mama anaupiga mwingi", pambaf kabisa!
Dawa ya kuwa na uwajibikaji bila kuogopa mtu ni Katiba mpya tuu.
Yapo yanalipwa vizuri ajili ya kumsifia yapige pesa, unadhani hata wewe mkuu ungekuwa hata DC na haya maisha yalivyo magumu lazima ungesifia uendelee kupiga pesa za umma.
 
Yapo yanalipwa vizuri ajili ya kumsifia yapige pesa, unadhani hata wewe mkuu ungekuwa hata DC na haya maisha yalivyo magumu lazima ungesifia uendelee kupiga pesa za umma.
Mimi hapana mkuu! Na ndio maana kazi za umma zilinishinda muda mrefu tena kabla ya hizi tabia za kujikomba hazijaanza
 
Sasa imekuwa kama mchezo wa mazoea, yaani kabla ya 30th March CAG kwenda kumsomea Rais ripoti yake ya ukaguzi kisha kuikabidhi Bungeni na mchezo unaishia hapo.

Mwaka unaofuata hakuna taarifa ya utekelezaji wa ripoti ya nyuma bali watu wanakaa kusikiliza ripoti nyingine.

Ripoti iliyopita ilijaa madudu mpaka yale ya wazi kabisa ya mfano tamasha la urithi lakini ni kama zilipendwa kwa sasa.

Je, hii inatokana na udhaifu wa bunge letu hasa kamati ya PAC ambayo kwa mfumo wa mabunge ya jumuia ya madola lazima iongozwe na upinzani?

Inaonekana Mwendazake aliua upinzani na hasa bungeni ili kamati hii iwe dhaifu isiwajibishe serikali yake kwenye upotevu na uzembe utakao ibuliwa na CAG.

Ni aibu kubwa kwa taifa mtu wa aina hiyo kumtaja kama mzalendo na eti aliipenda nchi yake. Ujinga mtupu, anastahili kuitwa mwizi na haini.

Leo ni 2022 na kusubiri nchi iendelee kupoteza dira hadi 2025 eti kisa uchaguzi wakati tunajua 2020 haukufanyika uchaguzi huo nao ni ujinga pro max, taifa linalojitambua linachukua hatua positive pale linapogundua linapoteza hadhi yake kisa kusubiri baadae.

Ripoti za CAG bila kufanyiwa kazi kila zitokapo ni ubadhilifu mkubwa.
Nothing is realistic even out budgets are all passive and full of imaginations that that are not active or real!
 
Sasa imekuwa kama mchezo wa mazoea, yaani kabla ya 30th March CAG kwenda kumsomea Rais ripoti yake ya ukaguzi kisha kuikabidhi Bungeni na mchezo unaishia hapo.

Mwaka unaofuata hakuna taarifa ya utekelezaji wa ripoti ya nyuma bali watu wanakaa kusikiliza ripoti nyingine.

Ripoti iliyopita ilijaa madudu mpaka yale ya wazi kabisa ya mfano tamasha la urithi lakini ni kama zilipendwa kwa sasa.

Je, hii inatokana na udhaifu wa bunge letu hasa kamati ya PAC ambayo kwa mfumo wa mabunge ya jumuia ya madola lazima iongozwe na upinzani?

Inaonekana Mwendazake aliua upinzani na hasa bungeni ili kamati hii iwe dhaifu isiwajibishe serikali yake kwenye upotevu na uzembe utakao ibuliwa na CAG.

Ni aibu kubwa kwa taifa mtu wa aina hiyo kumtaja kama mzalendo na eti aliipenda nchi yake. Ujinga mtupu, anastahili kuitwa mwizi na haini.

Leo ni 2022 na kusubiri nchi iendelee kupoteza dira hadi 2025 eti kisa uchaguzi wakati tunajua 2020 haukufanyika uchaguzi huo nao ni ujinga pro max, taifa linalojitambua linachukua hatua positive pale linapogundua linapoteza hadhi yake kisa kusubiri baadae.

Ripoti za CAG bila kufanyiwa kazi kila zitokapo ni ubadhilifu mkubwa.
Mwache mwenda zake apumzike! Kawaachia nchi yenu lakini bado mnalalamika
 
Back
Top Bottom