Abdul Mkwayu
Member
- Jul 7, 2018
- 53
- 73
Nina mpnz wangu ambaye tunapendana sana. Yapata miaka 2 hiv na ushee toka tuwe pamoja. Tunashirikiana kwenye maswala mbalimbali ya Maisha na Kimaendeleo simply she is wife material kabisa.
Ila hili swala la Dini linaonekana Kikwazo kikwabwa sana kwenye Kufikia lengo la Mahusiano yetu.
Labda ndgu zangu ambao mlipitia changamoto hii mlifanyaje kwa upande wenu.
Nisaidieni kijana mwenzenu mana haya familia zetu ni strong sana kwenye Dini yaan inaleta ugumu hata kwa mmoja kumfuata Mwengine.
Nawasilisha.
Ila hili swala la Dini linaonekana Kikwazo kikwabwa sana kwenye Kufikia lengo la Mahusiano yetu.
Labda ndgu zangu ambao mlipitia changamoto hii mlifanyaje kwa upande wenu.
Nisaidieni kijana mwenzenu mana haya familia zetu ni strong sana kwenye Dini yaan inaleta ugumu hata kwa mmoja kumfuata Mwengine.
Nawasilisha.