Tunaotuma maombi ya kazi tuzingatie tangazo la kazi linahitaji nini

Ndugu zangu natumaini wote ni wazima, kuna kitu nimekigundua wengi wetu tukiona tangazo la kazi hatuwi makini kuangalia mwishoni kwenye vitu vinavyohitajika kuambatanishwa na maombi ni vitu gani tumebaki kukariri tu CV vyeti na barua.

Niliwahi kutuma uzi wangu hapa wa kutafuta kazi kama secretary bahati nzuri nilifanikiwa kupata sehemu sasa bahati nzuri hiyo sehemu wametangaza nafasi za kazi mambo ninayokutana nayo kwenye hizo bahasha nabaki nashagaa.

Kikubwa hapa nawaomba jamani tufuate maelekezo mwisho wa siku unabaki kuona watu wanapendelea unalalamika kwanini huitwi kwa short list tuwe makini.

Mkuu mbona unapanick akati we ndo umeazisha uzi usio na nyama za kuzid hali inayopelekea walengwa kuto kuelewa viZuri nini umemaanisha???

By the way......Ahsante kwa tittle nzur
 
Watu wanaboa sana kitu kama mtu hajaelewa bora akauliza kiuungwana lakini anakutolea maneno ya shombo kwani mtu akipata kazi au akikosa Mimi napata faida gani

upo sahihi habiby hiki kizazi chetu pasua kichwa sana lamuhimu hakikisha mtu akutoi kwenye furaha yako, just be happy mi love, mi nimekuelewa saaana.
 
Mkuu mbona unapanick akati we ndo umeazisha uzi usio na nyama za kuzid hali inayopelekea walengwa kuto kuelewa viZuri nini umemaanisha???

By the way......Ahsante kwa tittle nzur
Sasa hapo kama hujaelewa ndo unauliza wapi hujaelewa nakufahamisha sasa watu mpaka wananitusi kosa langu kubwa nini hapo mkuu?
 
Back
Top Bottom