Rose piere
Member
- Feb 13, 2017
- 19
- 12
- Thread starter
- #21
Watu wanaboa sana kitu kama mtu hajaelewa bora akauliza kiuungwana lakini anakutolea maneno ya shombo kwani mtu akipata kazi au akikosa Mimi napata faida ganiusi panic mpenzi watanzania ndio tulivyo.