Hujaiona ilikuwa kwa uzi wa britanicca ambao mods walifanya yao??Mimi nasimama na Bawacha akitutajia aliyempiga risasi lissu Leo ndo tutamsikiliza .
Vile vile usichangaye akili zako na wataalamu wa kujishupaza shingo, (CCM), ndugu yako akitekwa utaambiwa amejiteka ama amejificha😪🤔😭Aliye twambia akili za kuambiwa changanya na zakwako alikosea unaweza kuharibikiwa hasa ukiruhusu kuchanganya akiri za mtu ambaye huwa anaahirisha kufikiri, (suspending individual reasoning), a.k.a kujizima data
Vile vile usichangaye akili zako na wataalamu wa kujishupaza shingo, (CCM), ndugu yako akitekwa utaambiwa amejiteka ama amejificha
Kwa saa za hapa kwetu Malawi itakuwa saa 21:00 kamili na kuendelea
Darasa huru sehemu ya nne sasa kati ya kumi! Ni kupitia HP online TV
Sisi Wamalawi hatuna nongwa na mtu kikubwa elimu! Kisha tukisha elimika sasa!
Haba na haba hujaza kibaba wahenga walisema! Lakini sasa za kuambiwa zichukue kama zilivyo usizichanganye na za kwako.. Mtindi hautiwi limao
Leo ni ukurasa wa nne.. Naamini mkata vimeo nuru ikatoweka ameshaanza kuzoea taharuki.
Ndorobo pia wanasubiri kwa hamu japo hawataki kukiri...
Nisimalize uhondo ngoja niwahi siti ya nyuma na barakoa yangu...! Jicho la mwewe lipo kaziniView attachment 3457900
View: https://www.youtube.com/live/yiwUA3Oix2E?si=FGujg3M2EmyClxMo
Naona kama wameondoa vile. "Video unavailable, it has been removed by the uploader""Nimesikiliza yote neno kwa neno.. Itoshe tu kusema nimejitafutia maradhi😭😭😭😭
Naona kama wameondoa vile. "Video unavailable, it has been removed by the uploader""
Wana msimamizi wao wakishindwa kutumia buku sabaMajizi ya Ccm yanaenda kuzima switch
Alivyo sasa katoa ushungi na makalio kaona kula msuba akicheki mubashara liveSaa90 mwenyewe yupo ndani ndani huko alikopigia kampeni leo.
Maskini ya mungu kajilaza kwenye mto, kanyong'onyea katoa tekno yake anasubiri spana.