Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,454
- 10,756
Namsubiri
Chubira ina vuta kheri,ila kwa wahuni subira anavuta majani mapana siku hizi hivyo kubwa ni akili kumkichwa! Vinginevyo umepigwa?Kwa saa za hapa kwetu Malawi itakuwa saa 21:00 kamili na kuendelea
Darasa huru sehemu ya nne sasa kati ya kumi! Ni kupitia HP online TV
Sisi Wamalawi hatuna nongwa na mtu kikubwa elimu! Kisha tukisha elimika sasa!
Haba na haba hujaza kibaba wahenga walisema! Lakini sasa za kuambiwa zichukue kama zilivyo usizichanganye na za kwako.. Mtindi hautiwi limao
Leo ni ukurasa wa nne.. Naamini mkata vimeo nuru ikatoweka ameshaanza kuzoea taharuki.
Ndorobo pia wanasubiri kwa hamu japo hawataki kukiri...
Nisimalize uhondo ngoja niwahi siti ya nyuma na barakoa yangu...! Jicho la mwewe lipo kaziniView attachment 3457900
Kwa saa za hapa kwetu Malawi itakuwa saa 21:00 kamili na kuendelea
Darasa huru sehemu ya nne sasa kati ya kumi! Ni kupitia HP online TV
Sisi Wamalawi hatuna nongwa na mtu kikubwa elimu! Kisha tukisha elimika sasa!
Haba na haba hujaza kibaba wahenga walisema! Lakini sasa za kuambiwa zichukue kama zilivyo usizichanganye na za kwako.. Mtindi hautiwi limao
Leo ni ukurasa wa nne.. Naamini mkata vimeo nuru ikatoweka ameshaanza kuzoea taharuki.
Ndorobo pia wanasubiri kwa hamu japo hawataki kukiri...
Nisimalize uhondo ngoja niwahi siti ya nyuma na barakoa yangu...! Jicho la mwewe lipo kaziniView attachment 3457900
View: https://www.youtube.com/live/yiwUA3Oix2E?si=FGujg3M2EmyClxMo