Tunaomba tujue maendeleo ya kiafya ya Fr. KITIMA

Tunaomba tujue maendeleo ya kiafya ya Fr. KITIMA

chararaa

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2025
Posts
1,861
Reaction score
2,882
Mlio karibu na mahali anapo hudumiwa mtupe mrejesho wa maendeleo ya afya yake maana kumekuwa na ukimya wa maendeleo ya afya yake.
 
Asije pigwa SIRINJI yenye kimiminika kisichojulikana na tukapewa taarifa kuwa, hali yake ilibadilika ghafla
 
Ahamishwe Nje ya Nchi kwa matibabu zaidi,Kama bado yupo Bongo ni uongo
 
Back
Top Bottom