Jamani serikali itupie upya mchakato wa route;
Trein ya kati Steshi kubwa hiamishiwe PUGU ;
Watu wa Pugu, GOngo La mboto,Mombasa, Mdafu, Kinyerezi , banana na Vingunguti tuwe na treini yetu;
Tatizo la usafiri ni kubwa;
Train ya Mwakanga NANI ANFANYA Kazi kurasini? UNanyioshe za za viwandani ifike stesheni