Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wanabodi mimi nikiwa mdau wa kilimo nilshuhudia jinsi serikali yetu tukufu ya ccm ilivyo simamaia kidete kwa kuzilazimisha halmashauri kununua power tilla kwa madai ya kuongeza tija kwenye kilimo,lkn leo hii mradi huo umesahaulika kabisa utadhani zile fedha zilizo nunulia hayo ma power tilla zilikuwa ni za viongozi wa serikali ya ccm