Tunaofunga Kwaresma hii tukutane hapa

Niwatakie Kwaresima njema wote tutaonana after Easter.

Muombe Mungu ufunge kwa maombi hata kama ni kushukuru tu sio lazma iwe shida au Tatizo.

Punguza matumiz ya ile anasa unayoipenda sana ikiwezekana iache kabisa...

Jitahid kuweza kutofautisha ushindaji na njaa na kufunga, Pia usigeuze kwaresima kama diet plan yako hilo halitakua lengo la kwaresima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sante sana, ubarikiwe
Niwatakie Kwaresima njema wote tutaonana after Easter.

Muombe Mungu ufunge kwa maombi hata kama ni kushukuru tu sio lazma iwe shida au Tatizo.

Punguza matumiz ya ile anasa unayoipenda sana ikiwezekana iache kabisa...

Jitahid kuweza kutofautisha ushindaji na njaa na kufunga, Pia usigeuze kwaresima kama diet plan yako hilo halitakua lengo la kwaresima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga sio lazima kuacha kula wandugu, unaweza kufunga kwa kuacha kufanya chochote ulichokizoea na unakipenda sana ambacho unajua hakimpendezi Mungu wetu (hope mnamjua).

Na hali hii ngumu mtu asijeamua kubana matumizi ya msosi kwa kisingizio cha kufunga, hiyo haitakuwa kwaresma, kufunga kwa mkristu sio kufunga kwa mazoea, unafunga kula tu, NO. Funga kwa kuacha kile unachokipenda sana na kitakutoa jasho kweli kukiacha, huo ndio mfungo.

Vitu kama kubeti, kutoa lugha za hovyo kwa wengine (matusi), kusengenya/ umbea, kuna vitu vingi km hivyo ambavyo tumevizoea sana ndio vyakuacha.

Kwaresma ni kubadilika mpaka jirani yako aone mfano toka kwako, sio kuacha kula mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga kwa mtu anayemfuata Kristo ni kila siku haijarishi nikwaresma au sio kwaresma kiukweli ni kwamba

Ukiona unaishi maisha matakatifu kipindi cha kwaresma tu wewe sio mkristo we ni mpagani tu kama wapagani wengine

Hatuwezi mkristo kufanana na upande wa pili ambao wanaacha kula nguruwe kipindi cha mfungo tu

Ukiacha kuishi maisha matakatifu kisa sio kwaresma we ni MPAGANI SIO MKRISTO
Kwani mbona Kama unataka ligi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga sio lazima kuacha kula wandugu, unaweza kufunga kwa kuacha kufanya chochote ulichokizoea na unakipenda sana ambacho unajua hakimpendezi Mungu wetu (hope mnamjua).

Na hali hii ngumu mtu asijeamua kubana matumizi ya msosi kwa kisingizio cha kufunga, hiyo haitakuwa kwaresma, kufunga kwa mkristu sio kufunga kwa mazoea, unafunga kula tu, NO. Funga kwa kuacha kile unachokipenda sana na kitakutoa jasho kweli kukiacha, huo ndio mfungo.

Vitu kama kubeti, kutoa lugha za hovyo kwa wengine (matusi), kusengenya/ umbea, kuna vitu vingi km hivyo ambavyo tumevizoea sana ndio vyakuacha.

Kwaresma ni kubadilika mpaka jirani yako aone mfano toka kwako, sio kuacha kula mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema hapa mambo ya kuacha kula?
 
Kipindi hichi cha mfungo kwaresma ukiwa kwenye ibada hii ya mfungo je unaruhusiwa kuwasilana na mpenzi wako? Mimi ni muislam lakini nina mpenzi kesho anategemea kufunga nataka nifahamu mipaka yangu kwake yeye kwa kipindi hichi chote akiwa kwenye mfungo
 
Asante mkuu maana kuna shughuli zitanibana mitaa hiyo hadi saa 10 hivyo itabidi nisali hapo nashukuru.
Pamoja sana mkuu! Utakuwa muda mwafaka sana ukimaliza hiyo saa 10 unaunga moja kwa moja kwenda kanisani. Inaonesha ni jinsi gani ulivyo Mkatoliki halisi, ubarikiwe sana na uwe na mfungo mwema!
 
Nyie watu wa Mungu ambae kesho mnategemea kufunga nimewauliza swali hapo juu lakini mpo kimya acheni uchoyo wa kuto kutoa elimu huo ni ubaguzi
 
Kipindi hichi cha mfungo kwaresma ukiwa kwenye ibada hii ya mfungo je unaruhusiwa kuwasilana na mpenzi wako? Mimi ni muislam lakini nina mpenzi kesho anategemea kufunga nataka nifahamu mipaka yangu kwako yeye kwa kipindi hichi chote akiwa kwenye mfungo
Aaaah, mkuu Kumbe ni wewe ndiye unatugegedea dada zetu? Ndiyo maana hata Mimi niliwagongea Swalhina wenu!
 
Back
Top Bottom